Ali Kiba Fans' Special Thread...

ha ha ha ha haaaaa!!!! Yamekua hayo tena..,,

ok, hongeren kwa kuongeza ubunifu,, ila mtu wenu BOYA...
 
I am sorry Matola,ni kesho sio leo....tatizo EATV wamebadili ratiba ya vipindi that's why

Ok nimesharudi Star tv naangalia BBC swahili ila Salim Kikeke leo mchana katuwa Bongo radha itapunguwa kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Ndio raha ya kuchaguwa The winning Team siyo unakaa na bunch of losers.

Hakika,shukrani zikufikie Matola kwa kuanzisha hiki kitu,ningefurahi hivi lini?
 
Last edited by a moderator:
nguruwe pitaaaa... cna mkuki mieee.... nifah atamalizia maana sielewiiii, balaa naona limejileta tena

Balaa gani tena mpenzi?full rahaaaaa uwiiiii leo hata nikipigwa risasi haipiti kwa hizi raha
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…