Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

ngoja nimpe maana macho yamewatoka km mjusi kafiri

chezea bando! watu wanaponda huku roho zinadunda, walitamani hata kuanzisha id mpya waje nacho kwenye kinyang'anyiro, ila kwakuwa wana mapenzi ya dhati na kiba wakaja hivyohivyo
 
kumbe hukuona!! afadhali maana duuh!

Hahaaa kama ni hilo jini kitorondo nimeliona achana nalo tufanye yetu wakija tunawapotezea hatutaki kubishana nao wanajidai eti wanatupa kick,sasa tutawaonyesha kua hatuhitaji uwepo wao hapa kivyovyote vile
 
Hahaaa kama ni hilo jini kitorondo nimeliona achana nalo tufanye yetu wakija tunawapotezea hatutaki kubishana nao wanajidai eti wanatupa kick,sasa tutawaonyesha kua hatuhitaji uwepo wao hapa kivyovyote vile

ndio maana nikaanza kuimba mie, ila si uthemeee
 
atoto usiseme tutaenda kula ice cream wote.

afadhali maana duuuhhh! nifah ananirusha roho tu, yaani anajua nina njaa alafu ananipeleka kwenye chumba chenye chakula dirishani ananiambia chungulia kileee
 
Last edited by a moderator:
afadhali maana duuuhhh! nifah ananirusha roho tu, yaani anajua nina njaa alafu ananipeleka kwenye chumba chenye chakula dirishani ananiambia chungulia kileee

Hahahaaaaa leo nacheeeka tu
 
Last edited by a moderator:
Aku,utakuja tu mimi ninajua michezo mizuri hatariiiii

na bahati yako wewe ni fan wa Kiba lacvyo, ndio urafiki ulikuwa unakufa hivyoo, mnuno ungekuhusu, na icecream yangu nitakula mwenyewe hata ckupi
 
na bahati yako wewe ni fan wa Kiba lacvyo, ndio urafiki ulikuwa unakufa hivyoo, mnuno ungekuhusu, na icecream yangu nitakula mwenyewe hata ckupi

Unaanzaje kunichukia sasa
 
Back
Top Bottom