Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thi mthemeeee!! aaagrrr!!! mi ntalia ujue
Unacheza na wazee wa box? Usikute ameshapewa control number asubuhi apitie western union kudraw kamzigo.
Balaa gani tena mpenzi?full rahaaaaa uwiiiii leo hata nikipigwa risasi haipiti kwa hizi raha
ngoja nimpe maana macho yamewatoka km mjusi kafiri
kumbe hukuona!! afadhali maana duuh!
Hahaaa kama ni hilo jini kitorondo nimeliona achana nalo tufanye yetu wakija tunawapotezea hatutaki kubishana nao wanajidai eti wanatupa kick,sasa tutawaonyesha kua hatuhitaji uwepo wao hapa kivyovyote vile
ndio maana nikaanza kuimba mie, ila si uthemeee
Hahahaaaa sisemiiiii
na sichezi na wewe sasa kuanzia leo
Aku,utakuja tu mimi ninajua michezo mizuri hatariiiii
Hahahaaaa sisemiiiii
unaninyanyasa kijinsia eeeh?(cjui vina mahusiano)
na bahati yako wewe ni fan wa Kiba lacvyo, ndio urafiki ulikuwa unakufa hivyoo, mnuno ungekuhusu, na icecream yangu nitakula mwenyewe hata ckupi