Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Woyoooooooooooooo hivi kwani hakuna wasanii hapa tz zaid ya kiba??? Watu wanakereketwa jaman wanaacha kupikia waume zao kutwa kupiga domo kumuongelea kiba mmmmmh kaaaaaazi kweli kweli.

Kiba ndo kiboko yaoo!!that's why wamekuja hapa,hujiulizi y wasingeenda kwenye uzi wa msanii mwingine??Kiba ndo mfalme wa kweliiii tuzo wamepata lakini bado anawahenyesha fikra zao!!aaah hushangai??
 
Ni ajabu la kumi la dunia etiii!!Mtalala hapa leo,tunasherehekea birthday pamoja hamna shida!

Kuna watu wanawashwa wallah kuna uzi special kwa ajili ya huyo mtu huku kinawaleta nn km co genye mxxxxxxxxx ptuuuuuu.
 
Kuna watu wanawashwa wallah kuna uzi special kwa ajili ya huyo mtu huku kinawaleta nn km co genye mxxxxxxxxx ptuuuuuu.

Kama ni ivo nimeshika msasa tayari kwa kusugua ivo visim vyao!!Haaa wakajifarague huko mbele hapa hatuna habareee!!
 
Kiba unawatesa sana,Kiba unawaumiza roho,bado umewajaa akilini wewe ni ndoto mbaya kwaooo!!haa Akyanani vile,wamebanwa na uharo kwa ajili yako!!
 
Na sasa nasemaje,karibuni sana jirani zetu,hapa kuna nafasi kuuubwa kwa ajili ya wapenzi wa Kiba wote wa wazi na wasirisiri!!Mapenzi yenu ndo yanawaleta hapa hamjielewi inshort!!
 
Jamani naombeni link ya video ya mwana.Ni ipeleke Chanel O mwenyewe maana hapa naona nyie kazi imewashinda
 
Wapi Atoto!!njoo ushangae mambo ya kula pilau na kwenda kujambia kwa jirani!!
 
Jamani naombeni link ya video ya mwana.Ni ipeleke Chanel O mwenyewe maana hapa naona nyie kazi imewashinda

Umeambiwa kazi yetu ni video production!!?kajipange...kama vipi kojoa ukalale!!
 
Nakwambiiiia!!sasa kutujazia nzi humu ili iweje!!Ndo kwanza mahaba kwa Kiba nazidisha mara mia na mia na buku zaidiiii!!Nampenda hatari kwangu Kiba ni bora zaidi,hii kwake ni changamotto tu sio msiba!!

Neno kuntuuuuuuuuu mahaba tele kwake tunampenda hivyo hivyo hao wanashangilia tu mwenzao anapewa tuzo za umalaya
 
Ukitaka kujua Kiba habari nyingine nenda nyuzi nyingine uone misukule wanavomtaja taja!!Na mtamuelewa tu,Kiba ni King mpaka kwenye fikra zenu!!
 
Back
Top Bottom