.......ama kweli jf ni addictive. ..hujalala?
Huyo Dai wala hatupi pressure tupo na afya tele,nawaonea huruma nyie mnaojipigisha makelele humu,vipi kwani uzi wenu umejaa!!Au ndo mnaringishia 'tuzo'?.mbona hamjiamini??
Looo!!Sio kila mtu anamtani Dai weee temea mate chini,lile domo Ladatho unataka amezwe kidevu,nyie ndio mnawaonea wivu malaya wa huyo mwafulenge!!Usijali next time ataenda na wewe usione wivu
Daimond kapata tuzo silali leo nimekuja kuwachangamshaa humu wanasubiri maembe kwenye mti wa mwarobainu
Ukitaka kujua Kiba habari nyingine nenda nyuzi nyingine uone misukule wanavomtaja taja!!Na mtamuelewa tu,Kiba ni King mpaka kwenye fikra zenu!!
Hhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mama yangu unauaaaaaaaaaaaa
Hata ingekua gawanya hamna la ajabu kabisaaaa!!Kiba kiboko yenu,amewakalisha mpaka nw mnajicomentisha kwenye uzi wa fans wake,najua kimoyo moyo unamkubali ila huwezi sema shoga yangu!!Msalaba na jumlishaaaaaaa
Hata ingekua gawanya hamna la ajabu kabisaaaa!!Kiba kiboko yenu,amewakalisha mpaka nw mnajicomentisha kwenye uzi wa fans wake,najua kimoyo moyo unamkubali ila huwezi sema shoga yangu!!
Usikute imerokodiwa two eyes production sasa chanel O hawajaiona
Hasira kisa!?Usilazimishe hisia hizo hapa amani mioyoni imetawala tunawashanga nyie na utoto wenu!!
Usijali next time ataenda na wewe usione wivu
Mjumbe hauawi...taarifa haidhuru mtu ati