Ali Kiba Fans' Special Thread...


Ndo ushangae wanajizalilisha kabisa mtu kapata tuzo wamupongeze wanaleta huku kuvuka stage ni shiider eti kuringishia vitabia vya kistandard one cha kushangaza hadi wake za watu what a shame hawana mipaka jamani watuachie kiba wetu hafanyi mashindano yasiyo na kichwa kweli hawana amani watulize mishono yao
 
Km ni tuzo hata nyani anapata seuse domo? Huhuuuuuu acha nburudike na kimasomaso mie weeeeeeeeraaaaa

Shangaaa!!
Tena wakwendreeeee....nini kujichekesha chekesha kwa Mfalme kwani huko kwao Tandale hawali wakashiba ebbo!!!
 
kweli leo nimeamini kiba anawapa watu vihoro jamani, hivi ni kwann kila alipo kiba watu moja haikai wala mbili haikai, alafu tz kuna wasanii wengi sn ila kiba haishi midomoni mwa watu, jiulize 'why' then utapata majibu
 

Wanatuletea tabia za kindagate hapa kuringishiana chu*i mpya mkwendreeeeeeeeeeee hatutaki shobo
 
Yani kupata tuzo dai wamechanganyikiwa wanakimbilia kwa Kiba!!amewapa uchungu hadi wanataka kutaga mayai,mmewahi kumwona kuku anayetaka kutaga anavokua!?
 
Kiba will alwys be my best no matter what, kiroho safiiiii na wala cna kinyongo na mtu
 
yaani naona kama mapenzi kwa kiba ndio yanapamba moto
 
Ndo ushangae hana tuzo lakini anakufurutisha tumbo la uzazi namna hiyooo!!Kiwango chake tishio kwenu!!hatari sana,unampendaje sasa!!

Mbona povu hiviiu leo sherehe wapi ya birthday au mmefanyia sebuleni weken mapicha basiu au ndio kamsemo kenu ka "hatupendi showoff
 
Yani kupata tuzo dai wamechanganyikiwa wanakimbilia kwa Kiba!!amewapa uchungu hadi wanataka kutaga mayai,mmewahi kumwona kuku anayetaka kutaga anavokua!?

Dai ana tuzo kibao sio moja wala mbili
 
Wanatuletea tabia za kindagate hapa kuringishiana chu*i mpya mkwendreeeeeeeeeeee hatutaki shobo

Ha ha ha ha ni kweli aisee hafu wote wanafikiri Sawa kudorishiana ujinga pilipili wasioila inawawashia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…