Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Wamejitoa ufahamu!!wanahara na wamebanwa choo hawakioni!!Kisa uwezo mkali wa Kiba!!Una hamu na bangi mbichi sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejitoa ufahamu!!wanahara na wamebanwa choo hawakioni!!Kisa uwezo mkali wa Kiba!!Una hamu na bangi mbichi sio?
Yani hawa mashabiki hamna kituuu ni zaidi ya mabox wamekuja kumzidishia popularity mfalme!!wengine wake za watu wamekazana kumpa kiki mfalme muda huu badala ya kuwapa waume zao haki zao kweli kiba ni nyokooo!!unawavuta watu kutoka pande zoteee wa rika mbalimbali na hulka mbali mbali mpaka wehu!
Km ni tuzo hata nyani anapata seuse domo? Huhuuuuuu acha nburudike na kimasomaso mie weeeeeeeeraaaaa
Una hamu na bangi mbichi sio?
Where have u been mumie???? Miss u
Una hamu na bangi mbichi sio?
Hivi kiba ana tuzo ngapi kill music award???????
Ndo ushangae wanajizalilisha kabisa mtu kapata tuzo wamupongeze wanaleta huku kuvuka stage ni shiider eti kuringishia vitabia vya kistandard one cha kushangaza hadi wake za watu what a shame hawana mipaka jamani watuachie kiba wetu hafanyi mashindano yasiyo na kichwa kweli hawana amani watulize mishono yao
Ndo ushangae hana tuzo lakini anakufurutisha tumbo la uzazi namna hiyooo!!Kiwango chake tishio kwenu!!hatari sana,unampendaje sasa!!
Hivi kiba ana tuzo ngapi kill music award???????
Yani kupata tuzo dai wamechanganyikiwa wanakimbilia kwa Kiba!!amewapa uchungu hadi wanataka kutaga mayai,mmewahi kumwona kuku anayetaka kutaga anavokua!?
Wanatuletea tabia za kindagate hapa kuringishiana chu*i mpya mkwendreeeeeeeeeeee hatutaki shobo
Tuzo ya tatuuuuuuuuu
Tatizo nyotaaaaaaaaaaa
Jamba pafyumu basi!!!
Yaan ni nyotaaaaa hebu rusha picha ya basdei tumuone king wetu Kiba