Kuna sehemu nimetaja sura mimi aiseee poleee kunywa panadol na maji mengiii, ,,we umekazana na sura ya dai huoni anang'oa watoto wakareeeeeeeee,,,,
Mwanaume hasifiwi suraaa anasifiwa kaziiiiiii
Wameususia uzi?kwi kwi kwi!!Tuliza kisebengo watu wana shughuli za kifamilia na uchumi hawawezi kushinda humu kama nyie?ivi chooni mnaenda kweli??Humu sie tunakuja kama kupata burudani yani leisure so unataka waache mambo yao ya maana wakomae hapa kutwa kuchwa!!shame!!
Ulikimbia shule English inakupiga chenga kama ndomo wenu!'Ugly faces' hujui maana yake??mdomo kama chuchunge unatamka kwa maandishi mambo usoyaelewa!!mwanaume mbaya mbaya tuuuuu!!Humu pia hatujaja kuuza sura!!sura kmlingishie boifrendi wako!!ptuuuu,
kama wewe sasa, wewe ndio mwenzangu sasa, yani wewe ni copy yangu, chooni tumechukua likizo ya muda mrefu kidogo, umbeya ndio kazi yetu toka jana tumo huku ndani, tofauti yetu ni moja tuu, wewe kinachokuweka humu ndani ni stress, mm nimekeshea tuzo weraweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! go mondi goooooooooooooooo wauweeeeeeeeeeeeeee wazibe nnyeeeeeeeeeeeeee
Sasaaa mi hayo sijaongeaaaa hayo ni yako unapayukaa,,,pole bibieee halaf sina boifrend kwaaaa kwaaaaaaaaaaaa
Siwezi kufanana na msukuleee!!unatamaaaani kuwa copy yanguuu!!never!!Kiiiiiiiiba wauweeeee!!kama wewe sasa, wewe ndio mwenzangu sasa, yani wewe ni copy yangu, chooni tumechukua likizo ya muda mrefu kidogo, umbeya ndio kazi yetu toka jana tumo huku ndani, tofauti yetu ni moja tuu, wewe kinachokuweka humu ndani ni stress, mm nimekeshea tuzo weraweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!! go mondi goooooooooooooooo wauweeeeeeeeeeeeeee wazibe nnyeeeeeeeeeeeeee
Limekuingia!!jirani yako unaelewa maana yake!!yani wewe una mme shoga unashinda humu??makubwaaa!!Kiba utavunja ndooooa haaa
Siwezi kufanana na msukuleee!!unatamaaaani kuwa copy yanguuu!!never!!Kiiiiiiiiba wauweeeee!!
Kibaaaa miaka miaaaa!!mtakuja mtaondoka!!mtakuta mahaba yanazidiiii!!Kibaaaa miaka miaaaa!!Usiniseeme!!Usiniseeeme kama nampenda Kibaaaa!Usinishangaaaaeeee usinishangae nampenda Kibaaaa!!mtatunga habariii nna hasira nna stress ila sibadili nna furahaaa telee kumshabikia Kibaaa npo huru kutetea msimamo wanguuuu!!Ngoja nkafanye mambo mengine misukule endeleeni kuwanga catch up with u later!!
Yaani kweli nimeamini kusoma kuelewa na cku zote jasir haachi asili hata hawajishtukii hawa watu mbna kule hawaji kweli ukiuzoea huu ule huuwez utachoka miguu kwa utembezi. #Kiba4life
Siwezi kufanana na msukuleee!!unatamaaaani kuwa copy yanguuu!!never!!Kiiiiiiiiba wauweeeee!!
Sina mume ninaye siwezi kujiashua kama weye shoga yangu!!Mie naja humu muda wa mapumziko,weye muda woooote!!haaa shogaaa!!utanichukia bureee Kibaaa nampendajeeee najua unampenda piaaaa
Shoga ujue mi sio addict wa jf kama weye!!nawahi na shughuli nyingine uzuri hata kama ni baada ya masaa mia post unazikuta tusiwe watumwa sanaaa mpaka nkashindwa kufanya yangu kujichosha na watu walojisusa!!Nawe unakimbiaaa hhhhhhaaaa haya bye
wewe hapo ndio monitor wa misukuleeee wewe hapo ndio yule ndondocha kiongozi, toka jana tumeshinda wote humu ndni, unajua wewe hujielewi na stress zitakuuwa si bure, toka jana najibishana na wewe, leo hii eti waniambia sina kazi zaidi ya kushinda humu??? wewe je umeshinda wapi???? kweeeendraaaaaaaaaaaa mirembe inakutafutaaaaa na ukicheza nawaambia ulipo
Limekuingia!!jirani yako unaelewa maana yake!!yani wewe una mme shoga unashinda humu??makubwaaa!!Kiba utavunja ndooooa haaa
Bora umelitambuaaa hilooo!!ulishinda na mie??weweee nmeingia humu usiku!!shughuli zangu nimwachie nani??ha ha ha!!bila shaka unaniotaaaa Kibaaaaaaaaaa atawauawaaaaawewe hapo ndio monitor wa misukuleeee wewe hapo ndio yule ndondocha kiongozi, toka jana tumeshinda wote humu ndni, unajua wewe hujielewi na stress zitakuuwa si bure, toka jana najibishana na wewe, leo hii eti waniambia sina kazi zaidi ya kushinda humu??? wewe je umeshinda wapi???? kweeeendraaaaaaaaaaaa mirembe inakutafutaaaaa na ukicheza nawaambia ulipo
Shoga ujue mi sio addict wa jf kama weye!!nawahi na shughuli nyingine uzuri hata kama ni baada ya masaa mia post unazikuta tusiwe watumwa sanaaa mpaka nkashindwa kufanya yangu kujichosha na watu walojisusa!!
Teh teh kumbe wanajifanya kujicomentisha kwa Kiba hafu wengine wana na waume makubwa kweli kiba anaweza kuvunja ndoa mana hawatulii kweli Kiba mwanaume hadi wake za watu hawatuliii kiruuuuuuuuuu