Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Kuna sehemu nimetaja sura mimi aiseee poleee kunywa panadol na maji mengiii, ,,we umekazana na sura ya dai huoni anang'oa watoto wakareeeeeeeee,,,,
Mwanaume hasifiwi suraaa anasifiwa kaziiiiiii
Ulikimbia shule English inakupiga chenga kama ndomo wenu!'Ugly faces' hujui maana yake??mdomo kama chuchunge unatamka kwa maandishi mambo usoyaelewa!!mwanaume mbaya mbaya tuuuuu!!Humu pia hatujaja kuuza sura!!sura kalingishie boifrendi wako!!ptuuuu,wewe messenger fikisha kwa jirani yako