Wanawaume shogaa huwaonagi kujifanya mme ivi mme vile??wanashinda humuuu wanadai tunashinda nao?hawashangai tunaonekana kwa masaa maalumu??haa ushabiki tuuu usahau hadi kuvaa chupi kisa?
Bora umelitambuaaa hilooo!!ulishinda na mie??weweee nmeingia humu usiku!!shughuli zangu nimwachie nani??ha ha ha!!bila shaka unaniotaaaa Kibaaaaaaaaaa atawauawaaaaa
mi sijakuona umekauka humu ndani 24/7 nikilala nikiamka umo tuuuu, sasa hapo msukule na naniiii??? kweli misukule hufanya kazi bila wao kujua nilikuwa nimesahau. pole mwaya ndio ushakuwa msukule wa kiba tena
mi sijakuona umekauka humu ndani 24/7 nikilala nikiamka umo tuuuu, sasa hapo msukule na naniiii??? kweli misukule hufanya kazi bila wao kujua nilikuwa nimesahau. pole mwaya ndio ushakuwa msukule wa kiba tena
Kwi kwi kwi!!lazima unioteee!!Kibaaaaaa wauweee!!unanifananisha
Wanawaume shogaa huwaonagi kujifanya mme ivi mme vile??wanashinda humuuu wanadai tunashinda nao?hawashangai tunaonekana kwa masaa maalumu??haa ushabiki tuuu usahau hadi kuvaa chupi kisa?
Kwa hiyo mpo wawili humu hhhhhAaaaaa
msukule huyoooo unajua ndio nashtuka sasa huyu ni msukule pure toka jana yupo humu ndani, ndio maana nashangaa sana akisema humu ndani anaingia kwa muda na hakuna muda nimemuona off kama si msukule ni nini.
Hhhhhhaaa tunashinda wotee humuu ye anajisahaulisha et wanaingia kwa masaaa, ,,basi wametoshaaaa utaua ndugu yangu
View attachment 206720
Sijui nitangaze kuacha mziki.!!
View attachment 206721View attachment 206722 Dinazarde
twende zetu dina tukaandae mauwa airport inatuhusu, tuachane na hii misukule ya kiba tunaipa airtime ya bure, wasijetengeneza moka kwa kupitia migongo yetu buree ikavimba kichwa, kama una pumba warushie tuishie zetu.
domo noumerHhhhhhaaaaaaa,,,,long live Jf jamaniiii karibuni tusherehekee tuzo tatu davido mwisho lagosiii
twende zetu dina tukaandae mauwa airport inatuhusu, tuachane na hii misukule ya kiba tunaipa airtime ya bure, wasijetengeneza moka kwa kupitia migongo yetu buree ikavimba kichwa, kama una pumba warushie tuishie zetu.