Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Wazembe na wazururaji ndio wana muda huo wa kwenda airport.
Katika maisha yangu nilikwenda kumlaki Mandela tu sina muda mchafu gata kwa Rais Mabusha.
Swali moja tu naomba kuuliza, hizi tuzo alishindanishwa na Kiba au Davido?
Messi anabeba tuzo kila mwaka ila ukweli unabaki palepale Christian Ronaldo ndio the best.
Marekani nawakubali sana West side connection ila sina kumbukumbu kama waliwahi kupata tuzo.
MIMI NAMKUBALI KIBA FULLSTOP.
matola utafungwa, unamwambia rais wako ana nini??? mi simo, basi tusubiri siku kiba akishinda ndio twende kumpokea eti??
hizo tuzo ni za muziki kwahio kama wewe ni mwanamuziki zinakuhusu....kama hujaitwa SA ina maana ulitupwa nje kwenye hatua za awali....sio tuzo za davido na diamond tu
Sifanyi biashara ya kumpokea yeyote isipokuwa kwa mtu kama Mandela. Hata Bush na Obama sikufanya biashara hiyo.
Mwisho Busha ni busha tu halina jina mbadala.
Swali moja tu naomba kuuliza, hizi tuzo alishindanishwa na Kiba au Davido?
Messi anabeba tuzo kila mwaka ila ukweli unabaki palepale Christian Ronaldo ndio the best.
Marekani nawakubali sana West side connection ila sina kumbukumbu kama waliwahi kupata tuzo.
MIMI NAMKUBALI KIBA FULLSTOP.
Swali moja tu naomba kuuliza, hizi tuzo alishindanishwa na Kiba au Davido?
Messi anabeba tuzo kila mwaka ila ukweli unabaki palepale Christian Ronaldo ndio the best.
Marekani nawakubali sana West side connection ila sina kumbukumbu kama waliwahi kupata tuzo.
MIMI NAMKUBALI KIBA FULLSTOP.
kumchukia daimond sio tatizo tatizo ni kumshindanisha hadi ikafikia hatua ya kumzomea kwenye fiesta.fiesta ilikuwa na wasanii zaid ya kumi na tano but ulmzomea diamond tu hapo ina maana diamond ni adui yenu na hamtaki maendeleo yake kmzk so kupewa tuzo katika kipindi hiki ambacho mlimzomea vya kutosha imekuwa so suprise kwenu maana ndo kwanza mashabk wameongezeka zaid.poleni sana mlichokitaka kimefeli
Kukbe ndo nini!!Acha kutetemeka shoga yangu tuliaa!!La kusema nnalo nani kwa mfano ananiziba mdomo hapa nyumbani!!Nasema ivi Kiba anakunyima usingizi bado ingawa mnasema kapata tuzo so Kiba afanyeje!!Ye ndo kiboko yake that's y mmekuja hapa kuringishia!!
Swali moja tu naomba kuuliza, hizi tuzo alishindanishwa na Kiba au Davido?
Messi anabeba tuzo kila mwaka ila ukweli unabaki palepale Christian Ronaldo ndio the best.
Marekani nawakubali sana West side connection ila sina kumbukumbu kama waliwahi kupata tuzo.
MIMI NAMKUBALI KIBA FULLSTOP.
Ndo ushangae wanajizalilisha kabisa mtu kapata tuzo wamupongeze wanaleta huku kuvuka stage ni shiider eti kuringishia vitabia vya kistandard one cha kushangaza hadi wake za watu what a shame hawana mipaka jamani watuachie kiba wetu hafanyi mashindano yasiyo na kichwa kweli hawana amani watulize mishono yao
Dah umewauliza swali zuri sana mana Kiba hakuwepo kwenye tuzo cha kushangaza mapovu yanawatoka kweli Kiba kiboko yao
Wanakata viuno tu Kiba amerudi na Mwana Dar tu wote wamepagawa kenge hawa.
Kelele unazifaham tulipiga madebe??tulikuja kwenu kuwatangazia!!grow up acha uchokoz wa kitoto lady!!ukiona povu linatoka ujue sabuni imekolea(kiba),alafu wewe unapenda sana kukimbilia neno 'roho mbaya',yani uniite nna roho mbaya kisa nazimika na mdundo wa Kiba!!plz!!Ukiwa mchokoz uwe na kumbukumbu!!hujawahi kuniona kwenu hata siku moja nikimkandia ndomo!!Na bado naona unajamba jamba tu huna jipya,enjoy ur stay in the mantion!!
Uwiiiii,umenikumbusha darasa la kwanza jamani ukinunuliwa andazi utalificha ukaringishie....hahahaaah what a shame?