Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Wazembe na wazururaji ndio wana muda huo wa kwenda airport.
Katika maisha yangu nilikwenda kumlaki Mandela tu sina muda mchafu gata kwa Rais Mabusha.
matola utafungwa, unamwambia rais wako ana nini??? mi simo, basi tusubiri siku kiba akishinda ndio twende kumpokea eti??