Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hivi huyu ally kiba ni mbwa gani mbona simjui? Kwa nini alinganishwe na nguli almasi?

Ama kweli ID nyingine zinaonyesha ni jinsi gani mtu alivyo mtupu kichwani...eti Mudawote!!!
Wewe ni nani hadi umuite Kiba mbwa?ina maana sisi na akili zetu tungepoteza muda kumjadili mbwa kweli?
Ok,kama ni mbwa kipi kilichokukereketa hadi umuulizie?tena ukome wewe ndiye mbwa,mbwa.
 
Last edited by a moderator:
Where are you toto angu atoto?kuna mpumbavu mmoja kanichefua hapa vibaya sana...Please come this way maana damu inaweza kumwagika hapa
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu ally kiba ni mbwa gani mbona simjui? Kwa nini alinganishwe na nguli almasi?
Astaghafulilahi!!Astaghafulilah!!Mungu akusamehe kwa kumuita binadamu mwenzio mbwa!!Nimekusamehe bure,najua chuki na wivu plus hasira zikizidi huleta kuchanganyikiwa!
 
Astaghafulilahi!!Astaghafulilah!!Mungu akusamehe kwa kumuita binadamu mwenzio mbwa!!Nimekusamehe bure,najua chuki na wivu plus hasira zikizidi juleta kuchanganyikiwa!

Hakuna kumsamehe mpuuzi kama huyo bwana,c'mon my dear...
 
Where are you toto angu atoto?kuna mpumbavu mmoja kanichefua hapa vibaya sana...Please come this way maana damu inaweza kumwagika hapa

calm down, they r not worth it my dear
 
Last edited by a moderator:

woyoooooooooooooooooooooo
 
Nilisikia jana jamaa flani wanaliongelea hilo...kumbe wameshinda!hongera zao

Ndio wanakabidhiwa kombe lao sasa hivi na zawadi.

Dakika 90 ilikuwa droo 1-1 then matuta Abajalo kidedea.
 

.
mna mAbangooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…