Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hivi huyu ally kiba ni mbwa gani mbona simjui? Kwa nini alinganishwe na nguli almasi?

Ama kweli ID nyingine zinaonyesha ni jinsi gani mtu alivyo mtupu kichwani...eti Mudawote!!!
Wewe ni nani hadi umuite Kiba mbwa?ina maana sisi na akili zetu tungepoteza muda kumjadili mbwa kweli?
Ok,kama ni mbwa kipi kilichokukereketa hadi umuulizie?tena ukome wewe ndiye mbwa,mbwa.
 
Last edited by a moderator:
Where are you toto angu atoto?kuna mpumbavu mmoja kanichefua hapa vibaya sana...Please come this way maana damu inaweza kumwagika hapa
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu ally kiba ni mbwa gani mbona simjui? Kwa nini alinganishwe na nguli almasi?
Astaghafulilahi!!Astaghafulilah!!Mungu akusamehe kwa kumuita binadamu mwenzio mbwa!!Nimekusamehe bure,najua chuki na wivu plus hasira zikizidi huleta kuchanganyikiwa!
 
Astaghafulilahi!!Astaghafulilah!!Mungu akusamehe kwa kumuita binadamu mwenzio mbwa!!Nimekusamehe bure,najua chuki na wivu plus hasira zikizidi juleta kuchanganyikiwa!

Hakuna kumsamehe mpuuzi kama huyo bwana,c'mon my dear...
 
Where are you toto angu atoto?kuna mpumbavu mmoja kanichefua hapa vibaya sana...Please come this way maana damu inaweza kumwagika hapa

calm down, they r not worth it my dear
 
Last edited by a moderator:
Heheh ndo nshapita hapa hapa sasa, ntaanzaje kupita vile nawe huna uwezo wa kufunga mtaa??!! Funny!

If you allow my words.....we ndo unaonekana una roho mbayaaaa roho ya kwanini maana hilo neno umeling'ang'ania sana Btw: get us some coral paints.....if you won't mind anyways!!

Huhuhuhuuuu if being identified as ugly is a sin then u'll be the first to hell, and if being identified as beautiful is not a sin nor any kind of crime then Am gonna get the V.I.P seat to heaven!!

woyoooooooooooooooooooooo
 
Nilisikia jana jamaa flani wanaliongelea hilo...kumbe wameshinda!hongera zao

Ndio wanakabidhiwa kombe lao sasa hivi na zawadi.

Dakika 90 ilikuwa droo 1-1 then matuta Abajalo kidedea.
 
Sasa wewe unatakaje labda uu ni uzi Wa Kiba una angaika we we tukusaidiaje sasa hafu mje na normal I'd Alikiba forever More leave us stop crying about our really Kiba tunamkubali sana miaka mia haters like you gonna bounce Alikiba for really foreeeeeeeeeeeeever

.
mna mAbangooooooo
 
Back
Top Bottom