Mnasemaga kwani nyie?..haya atoto watchu waiting for?
hahaaaa! sasa mimi hili linanihusuje jaman?
hawa hata ukiwakuta na pete atakuambia kaikota akaamua avae au anavaa tu ili kupunguza usumbufu!!! huhuuuu kila mwanaume huwa hajaoa unless ulishuhudia au wamfahamu(they say so)
ila Kiba nae alizubaaga sn enzi hizo, hapa ndio ilikuwa fursa ya yeye kufanya makubwa
Ahaaaa....sasa ole wako nikusikie tena......
ila Kiba nae alizubaaga sn enzi hizo, hapa ndio ilikuwa fursa ya yeye kufanya makubwa