Saydou funguuuuka nduguuu!Naona tunatamanishana tuuu!On set kiba ft dBanj
Ms.Lincoln uko wapiiii?? Mdakuzi anakuita huku uje useme nani anataka apropose ati!!
Jamani za mida niliwamiss atoto nmekujibu hapo juu ndo utajijuuuu!!nshajiconectishaaa!!Zubaa zubaa utamkuta mwana sio wakooo!
On set kiba ft dBanj
Uwiii iyo project ikikamilika watu watajinyonga aisee! Mdakuzi na atoto mmepotelea Wapii?
Umejinyonga?
hahaaaaa!!! nijinyonge kwa lipi mayb?
No nimewaona na wengine ila nyie ndo nimewawazia!hahaaaaa!! sisi tu ndio umeona tumeadimika???
Jamani iyo project ya Kiba na dbanj imeupasua moyooo!!
No nimewaona na wengine ila nyie ndo nimewawazia!