Heheheeeiiiyyaa raha jipe mwenyewe atii!
Mdakuzi una nini weye mbona wazimikiwa hivyo??
mpe pole@avemaria ndo unaingia naiti kali
👑👑👑 in London
yaani alianzia mbaliiii kumbe target ni huku!!! hahaaa Ms.Lincoln noma, Mdakuzi naye anajikanyagakanyaga tu!!! kumbe wamezimikiana
mpe pole@avemaria ndo unaingia naiti kali
yaani cjui alikuwa wapi!!!
Shughuli ndugu zangu acha tu.
Kuna asiyetaka kushinda kwa Le Royal Family?? Basi tu
Hahahahaaa... Sikujua kama nawe umo jukwaani muda huu.
Ova
Yaaani king anakuja uyooooo
infoz zilipotea umu Kwasabbu Account yangu ya mwanzo imeingia Virus now nipo na Id Mpya
Mwana video loading .....king👑👑👑👑👑👑👑👑👑❤❤👑👑👑👑👑❤❤❤👑👑👑👑❤❤ Nawakubali TEAMKiba wote ❤❤❤❤❤
id yako ya kwanza ni ipi? just asking, jamani najisikia furaha sanaaa kwa taarifa hizi
Utoijua nimeangaika kuerejesha but tulikua wote tangu mwanzo thread Id was 👉Ambition Boy 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
ooooh!! okey sio mbaya ilimradi tupo pamoja
anaanzaje kuchomoa sasa, nasubiri le tamkoz kwa hamuuuuu
Hahahahaaa... Sikujua kama nawe umo jukwaani muda huu.
Ova