Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ali Kiba hata akiwekewa zile ngazi za chuma wanazotumia watu wa tanesco hawezi kumfikia Diamond.
Hivi kuna shubiri chungu kama ya kuzomewa leaders?
Morning peoplesss. Nawamiss sana wapendwa bt ubusy unanizid muwe na cku njema. Luv u all
Hii ndo mida yangu baada ya kuwa nimepunguza shughuli zangu nyingi!
Btw vipi kuhusu Le Tamkozzz???? We mtoto wa kiume bhana inahusu kuzungusha shingo kama tiara!! Haaah
Morning Team kiba hope mumeamka poa ?
Mwana onset 👑👑👑👑
Morning, bila shaka hii ni mitaa ya Cape Town Camps bay.
Mhhhh....hizo swaga za Pharell Williams ni sheeedah mazee
Morning!!uliwah kuona miguu ya mwafulenge?!utacheeka kama fito!!
Woyooooo!woyyoooo!!Habari murua kabisa!!good news nifah,atoto na ms lincoln mpooo
Abou nna raha hapa acha kabisaaa!!Kwa kweli King afanye yake,dua zetu na sala zipo pamoja naye!!kama upo na ukaribu naye let him know!!Hapana Chezea Kiba 4 real!!uwiiiKhaaaaaaa khaaaa khaaaaa Mgomvi ww
Abou nna raha hapa acha kabisaaa!!Kwa kweli King afanye yake,dua zetu na sala zipo pamoja naye!!kama upo na ukaribu naye let him know!!Hapana Chezea Kiba 4 real!!uwiii
Yaaani king anakuja uyooooo
infoz zilipotea umu Kwasabbu Account yangu ya mwanzo imeingia Virus now nipo na Id Mpya
Mwana video loading .....king👑👑👑👑👑👑👑👑👑❤❤👑👑👑👑👑❤❤❤👑👑👑👑❤❤ Nawakubali TEAMKiba wote ❤❤❤❤❤
Woyooooo!woyyoooo!!Habari murua kabisa!!
Ms.Lincoln nakutuma Diva kwa ninh anadenguwa sana mpaka sasa sijaona pm? Au kuna njemba imeshatumia fursa.
Xoxoxo!!Video inasubiriwa na Royal family mpaka haters wanaijadili hawajui kwa kufanya ivo wanaiongezea msisimko!!Hao dancers wapo poooa!!Nlishawah kuwaona EATV wakihojiwa nadhani wameua uwiiii!!Kiba u rock!!
Ms.Lincoln nakutuma Diva kwa ninh anadenguwa sana mpaka sasa sijaona pm? Au kuna njemba imeshatumia fursa.
Hesabu cku 123 mpka 7 from Leo Mwana loading .....
Ha ha ha!!Babu Ch.. Ndiye competition yako kama hujuiii!!Nawewe mwambie Mdakuzi kwanini amekataa kuniimbia au kabanwa pm!