Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ha ha ha!!Babu Ch.. Ndiye competition yako kama hujuiii!!Nawewe mwambie Mdakuzi kwanini amekataa kuniimbia au kabanwa pm!


Hebu mumuache Mdakuzi wangu apumue, (hahaaa hii sio mm niloandika kweli tena)
 
Last edited by a moderator:
Chinga huyu huyu? Basi itakuwa siku hizi wanaume nao wameanza mchezo wa kuroga wanawake.

Kuhusu Mdakuzi ni wa ukweli usikonde.

hajarogwa yule ila anajiold school so uckate tamaa
 
Nifah njoo uone Ally K anavotaka kuwa'murder' watu people!!Itakua mvua ya mawee iyo siku...
 
Hata mbuz akikua anampanda maza ake xo naic nao pia kawaimbia huyo ndo msani mada znagusa kote.wataumwa dawa hakuna
 
Mbuzi hatishi kwenye shirki, ingekuwa kondoo ningeogopa.

Huu ni mwezi december mtu anayekupunguzia bill ni mzuri huyo.

Matola Diva na Mdakuzi wanatusumbua sana kwanini tusifanye exchange of interest!(Atoto usicheke mie ni opportunist)
 
Matola Diva na Mdakuzi wanatusumbua sana kwanini tusifanye exchange of interest!(Atoto usicheke mie ni opportunist)

hahaaaaa!! yaani nimecheka kwa nguvuuu!!! mweee sasa hiyo couple ya Mdakuzi na Diva c itakuwa vichekesho!!! hata Mungu alijua ndio maana wewe akakupa mdakuzi diva akapewa matola ili mblend jamani
 
Last edited by a moderator:
Somji juma,so ndomo alitaka amwone Kiba pembeni alidhani bodyguard wake!?Au alimaanisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…