Morning Team kiba hope mumeamka poa ?
Mwana onset 👑👑👑👑
Kumbe kuna fursa umu😱😱😱😱😱😱😱😱😱😱
Chinga huyu huyu? Basi itakuwa siku hizi wanaume nao wameanza mchezo wa kuroga wanawake.
Kuhusu Mdakuzi ni wa ukweli usikonde.
Hesabu cku 123 mpka 7 from Leo Mwana loading .....
hajarogwa yule ila anajiold school so uckate tamaa
Nasikia kazika mbuzi...Chinga huyu huyu? Basi itakuwa siku hizi wanaume nao wameanza mchezo wa kuroga wanawake.
Kuhusu Mdakuzi ni wa ukweli usikonde.
Opportunity never come twice.
"Imejipost"
Diva beyonce hujui,Matola akilala Durban,akiamkia Paris,akipumua Michigan akilala tena London!Diva Beyonce jamani y unamfanyia hv matola??? ni chinga tu au kuna lingine?
Mbuzi hatishi kwenye shirki, ingekuwa kondoo ningeogopa.Nasikia kazika mbuzi...
Huu ni mwezi december mtu anayekupunguzia bill ni mzuri huyo.Diva Beyonce jamani y unamfanyia hv matola??? ni chinga tu au kuna lingine?
Mbuzi hatishi kwenye shirki, ingekuwa kondoo ningeogopa.
Huu ni mwezi december mtu anayekupunguzia bill ni mzuri huyo.
Wimbo gani wa alli kiba mpya unaotamba? Sijausikia bado
He he heiyaaa!!Nimeamini sio wewe mbonaaa!!Mwachie mara moja aje atusalimu!!
Mbuzi hatishi kwenye shirki, ingekuwa kondoo ningeogopa.
Huu ni mwezi december mtu anayekupunguzia bill ni mzuri huyo.
Matola Diva na Mdakuzi wanatusumbua sana kwanini tusifanye exchange of interest!(Atoto usicheke mie ni opportunist)