hahaaaa!!! huku karoho kanakuuma!!!
Ha ha ha!!Mbavu zanguu!!kwani nawewe ni rika la mcongoman au kibabu cha escrow niweke bayana!Ndio maana Ndomo kaamuwa kudeal na vikongwe hawana usumbufu, nyinyi under 30 bado tamthilia nyingi.
hebu mwambie huyo, et naye anang'atang'ata kucha mtoto wa kiume!!!
Ali kiba ni mwanamuziki wa nyumbani kama alivyo king'wendu,
Diamond ni mwanamuziki wa kimataifa kama alivyo Rihanna au Davido.
Wimbo gani wa alli kiba mpya unaotamba? Sijausikia bado
Ali kiba ni mwanamuziki wa nyumbani kama alivyo king'wendu,
Diamond ni mwanamuziki wa kimataifa kama alivyo Rihanna au Davido.
Ha ha ha!!Mbavu zanguu!!kwani nawewe ni rika la mcongoman au kibabu cha escrow niweke bayana!
changamkia fursa kijana, shaurilo
Shida yenyewe hata sijielewi kama na mimi ni kibabu au kijana? Maana shikamoo zimekuwa nyingi kweli siku hizi.
Back to Le project.
Utoijua nimeangaika kuerejesha but tulikua wote tangu mwanzo thread Id was 👉Ambition Boy 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Morning Team kiba hope mumeamka poa ?
Mwana onset 👑👑👑👑
Morning!!uliwah kuona miguu ya mwafulenge?!utacheeka kama fito!!
Nifah njoo uone Ally K anavotaka kuwa'murder' watu people!!Itakua mvua ya mawee iyo siku...