Ali Kiba Fans' Special Thread...

acha kbsa.kiba ni habari nyingine.yaani unackiliza nyimbo hata mkweo akiwepo huoni aibu.cyo mond kila kukicha mapenzi.cjui nani kamwambia wengine hawayajui.au vile ndo mambo yake?mana mtoto anapenda chini yule hatareeeeeeeee.

Hahahaa umenikumbusha kuna ustadh mmoja tokea nimjue sijawahi kumsikia akisikiliza miziki ila leo nimemsikia akisikiliza mwana tena kwa sauti ya juu sana hadi nikashangaa
 
Kupitia kurasa yake ya Instagram msanii Ali Kiba ametufahamisha kuwa yuko South Africa mjini Cape Town akifanya video. Hajaweka wazi ni video ya wimbo upi ila inawezekana kuwa video ya ‘Mwana' sababu ndio wimbo unaofanya vizuri kwa sasa.

Chanzo: Sam Missago
 

Attachments

  • kiba-1.jpg
    33.7 KB · Views: 1,277
  • kiba-2.jpg
    54.6 KB · Views: 1,275
  • kiba-3.jpg
    34.4 KB · Views: 1,251
Ali Kiba fukuza management- yako na anza- Moja. .Yani Ali Kiba kiukweli ni artist mzuri na mwenye kipaji asilia kabisa na mwenye uwezo mkubwa kwenye MIC.
Tatizo nnaloliona anafanya kila kitu mwenyewe or management aliyonayo ni management jina tu..tangu aachane na Guru ramadan mambo yapo slow sana..ki ukweli ni kwamba hamna team inayom push Ali to the world or to his fans..Yeye kama yeye anatakiwa kutoa kazi na kuachia management yake ifanye kazi. .haya tangu mwana itoke video mpaka sasa hivi bado haijatoka. .pia Ali hayuko karibu kabisa na fans..ndio yeye hapendi kuwa kwenye media lakini nature na kazi yake inabidi team yake iwe mbele kukaza. .hapa nikitaka kujua Kibala aka Kiba's next project,show hau chochote hamna update kokote ...Huyu jamaa ana potential kubwa sana tatizo hana Team bunifu ambayo inapush kazi zake..
Hao sijui Sony sijui nani achana nao..
 
Hahahaa umenikumbusha kuna ustadh mmoja tokea nimjue sijawahi kumsikia akisikiliza miziki ila leo nimemsikia akisikiliza mwana tena kwa sauti ya juu sana hadi nikashangaa
ss je.hapana chezea kiba.cku zote kimya kingi kina mshindo.watapanga foleni Sana tu.we unadhani madam alikosea au hakumuona dmond.
 
Mdakuzi where are you jamani?I miss you a lot,I feel like there is something missing in my heart....Come this way pleeeeese
 
Last edited by a moderator:
Mdakuzi where are you jamani?I miss you a lot,I feel like there is something missing in my heart....Come this way pleeeeese


duuu kweli kipendacho roho!!!! tumemuita wee hata hakuja ila wewe kumuita tu fastaaaaa kajitokeza Ms.Lincoln tukaogee maji ya madafu mamangu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…