duuu kweli kipendacho roho!!!! tumemuita wee hata hakuja ila wewe kumuita tu fastaaaaa kajitokeza@ms.lincoln tukaogee maji ya madafu mamangu
Hahahahaaa mapinduzi makubwa sana!
Ova
Hapo kweli hata memory itapotea lol!!! Una mpango wa kunipeleka ahera mapema
Hayo ni mambo ya kizamani sana, kujiamini ni pamoja na kuchaguwa mtu unayemzimikia.
kwani hukuona proposal ya Ms.Lincoln??
Kuanzia leo sichezi na Matola loo!!nilijisepetunga kumwambia tubadilishane kama hakuniona vilee!kwani hukuona proposal ya Ms.Lincoln??
Jishaue tyuuu!mxiuuu!!Back to the topic!!Kiba ni kiboko yao jamani!Kama nimepitiwa flani hivi!!
Hahahaaa acha niwaachie wanamapinduzi bwana....but for me?big noooo
Shoga hii kiboko pamoja na kujifanya 'Mdakuzi wako'Alipotokea kama hakujuiii!!ha ha ha ha...duuu kweli kipendacho roho!!!! tumemuita wee hata hakuja ila wewe kumuita tu fastaaaaa kajitokeza Ms.Lincoln tukaogee maji ya madafu mamangu
Kiba nomer sanaaa!(Atoto najifanya sijaona kituuu!)
Hayakuhusu? Hahahahaaa. Nimecheka sana, eti niwaachie wanamapinduzi. Ah una maneno sana mpenzi wangu.
Ova
Naona chuchu bado zipo saa 6 lazima useme hivyo.
Shoga hii kiboko pamoja na kujifanya 'Mdakuzi wako'Alipotokea kama hakujuiii!!ha ha ha ha...
Jishaue tyuuu!mxiuuu!!Back to the topic!!Kiba ni kiboko yao jamani!