Ali Kiba Fans' Special Thread...



La kwanza niko tayari kutoa Tshirt za Kiba zenye kiwango ambapo shughuri ya kuziandaa kuna kampuni iko South Africa inaweza kuleta Tshirt katika viwango vya USA.



Taarifa ya Mshindi

Mkuu usilete matusi, sie tunataka T-shirt mkuu hahahaha
 
Shemeji umeona Tour ya Ally k for real December hii?? Nasikia anaenda Marekani na anazunguka EA yote.. Ali k for real anatisha bana

Heheheeer loh!umbea mbaya jamani!
Tokea lini ukatoa taarifa za King Kiba wewe?hater leo kawa fan jamani?
Wewe tulia tu ufuatilie movie kimyakimya uwepo wako hapa siutambui
 
Achana naye bwana anataka kututoa kwenye mood...huyo kawawakilisha wenzie kibao wapo hapa wanarefresh tu...
Hahahaaaaa

Hahahaaa! Umewanyamazisha kwa mpigo hata hao wanaochungulia.
Ova
 
Heheheeer loh!umbea mbaya jamani!
Tokea lini ukatoa taarifa za King Kiba wewe?hater leo kawa fan jamani?
Wewe tulia tu ufuatilie movie kimyakimya uwepo wako hapa siutambui

Shemeji tuliza boli, Kiba anashoot South si unalitambua hilo au??
 
Shemeji umeona Tour ya Ally k for real December hii?? Nasikia anaenda Marekani na anazunguka EA yote.. Ali k for real anatisha bana

Kima wewe siyo mzima wahi checkup kama aliyofanyiwa Profesa Mabusha.
 

Attachments

  • 1417712362928.jpg
    16.3 KB · Views: 44
Atoto nakutakia project njema,msalimie mwenzio!
 
Kima wewe siyo mzima wahi checkup kama aliyofanyiwa Profesa Mabusha.

Matola kwani we ndie nifah?? hebu jibu swali lako, T-shirt zinaingia lini mkuu??? Matusi hayasaidii chochote hahaha
 
Mhuuu!Hivi kwann bundi hulia usiku tuuu!

Ufalme wao ni wa giza, kuna binadamu wengine walipaswa kuzaliwa kenge ila tu unajuwa zile mimba za kwenye mikesha wa mbio za Mwenge ndio inazaliwa mitoto laana kama huyu Pimbi.
 
Heheheeer loh!umbea mbaya jamani!
Tokea lini ukatoa taarifa za King Kiba wewe?hater leo kawa fan jamani?
Wewe tulia tu ufuatilie movie kimyakimya uwepo wako hapa siutambui

Hahahaaa! Umewanyamazisha kwa mpigo hata hao wanaochungulia.
Ova

Kwa niaba ya Kiba Fans nawaomba tumpuuze tu huyo Kibwengo sisi tuendelee na yetu kwa raha zetu. Hakuna adhabu kubwa hapa JF kama kumpuuza mtu na kutomquote post yake yoyote.
 
Kwa niaba ya Kiba Fans nawaomba tumpuuze tu huyo Kibwengo sisi tuendelee na yetu kwa raha zetu. Hakuna adhabu kubwa hapa JF kama kumpuuza mtu na kutomquote post yake yoyote.

Tumekusikia mkuu tunampuuza rasmi, nifah achana naye huyo baby wangu!
Ova
 
Last edited by a moderator:
Tumekusikia mkuu tunampuuza rasmi, nifah achana naye huyo baby wangu!
Ova

Sawa baby naachana naye asiniletee balaa hapa saa hizi ukakasirika bureee (uwiiii sitaki kabisa hiki kitu kitokee)
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…