Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Kwani wakitakiana kuna shida gani na nnyie takieneni kumbe hadi watu wakitakiana siku njema mnaumia majanga kweli😱😱😱:what:
Hana lolote mpaka tuongee sie na wao ndo wapate cha kujadili!
Binadamu sie akili zetu nyepesi sana, tumwache kijana afanye yake kwa nafasi yake!