Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

kunani South Africa au ndo mnafata njia za chibu kawafungulia baraka hhhh diamonds are forever wakati wako uli......

Wadwanzi kazi kufuata mkumbo tu ndo maana mnalopoka tu. Ati Dai ndo kamfungulia Kiba njia ya kwenda kushoot SA??

Lolest!!!
 
Akah mwenzangu watu walitaka kuniibia baby angu Mdakuzi hivihivi...nimevumilia weeee nikaona that's too much that's why nimekuja ku take over you know!!!
Hahahahaaa! Kweli leo una raha sana baby wangu! Nacheka kweli kila nikikusoma.
Ova
 
Hahahaaaa Matola unajua kusoma alama za nyakati wewe?
Haya ngoja mimi niangalie movie hapa maana Diva yupo anaangalia tu leo kuna mahali nimemuona

Hili Le project kiboko hata mimi nimemuona anamchamba pashkuna moja la mtaa wa pili sijui hata nini kinaendelea hapa.
 
Last edited by a moderator:
Wadwanzi kazi kufuata mkumbo tu ndo maana mnalopoka tu. Ati Dai ndo kamfungulia Kiba njia ya kwenda kushoot SA??

Lolest!!!

wadwanzi kidogo basi utaelewa tu mdwanzi mwenzangu vp tena kijana kajiwekeza hapo nn jazbaaaa tell em' haters i say go to hell
 
Kwani lazima wote muende Sauzi. Wabongo bwana ndo maana hatufanikiwi.Au sababu tuzo za chanel o zinatoka huko?
 
Hili Le project kiboko hata mimi nimemuona anamchamba pashkuna moja la mtaa wa pili sijui hata nini kinaendelea hapa.

Hahahaaa unaniachaga hoi kweli na hilo neno la pashkuna!
Kuhusu Le project....namsubiri Diva aje sisemi mie...
 
Last edited by a moderator:
Swali lipi tena jamani hebu niulize tena.
La.. Akija kuniua utanitetea?maana kuna mahali niliona anachambwa mtu eti alikua anajifanya anajibebisha kwako kumbe umempa simu achati naye!!
 
Back
Top Bottom