Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

hahaaa!! bora umemwambia mama, maana namuona tu anavyofurahia kuwa (by the way) nitafanyaje sasa!!! hahaaaaa! Ms.Lincoln kwahiyo wewe ndio kiraka cha matola? ngoja ije suruali mpya diva uone utavyotupwa

Mi ngoja nawasikilizia tu!
 
Last edited by a moderator:
Hee naona nsije aga dunia kabla video ya mwana sijaiona!!Mhuuu!Mambo yamekua sio mambo...Mtaa wa pili kasimulieni na hili!
 
we muache afurahie alafu yeye ndio aje awe movie
Naogopa kuchambwaaa!!yeye alisema yupo single ila!...kweli huyu mbabu wa escrow ana balaa ndo maana diva beyonce kala kona!!
 
Naogopa kuchambwaaa!!yeye alisema yupo single ila!...kweli huyu mbabu wa escrow ana balaa ndo maana diva beyonce kala kona!!


we c ulijua umepata eeh ukamuona diva mjingaaa!!! sasa huko icu sisi tutakuja utusimulie namna ambavyo movie ilikolea
 
Yani sikutegemea kama wewe ni mkaanga sumu kiasi hiki!!
Ha ha ha!!we mbabu wa escrow unataka kunipambanisha na bomu la nucler!Kweli siku za mwisho upendo utaisha!!ila movie ipo palepale(nakufa na tie shingoni)
 
Jamani sisi wote ni Familia moja mbona tunaleteana majungu kiasi hiki? Wewe mwanzo umejifanya mtoto humu bado bikra sasa saa hizi unataka kuvuruga ya wenzako.

Hahahaaaa Matola unajua kusoma alama za nyakati wewe?
Haya ngoja mimi niangalie movie hapa maana Diva yupo anaangalia tu leo kuna mahali nimemuona
 
Last edited by a moderator:
Kusema ukweli hii ndio best song yangu katika nyimbo za Kiba, huyu jamaa ni noumer.

Back to my offer angalia online ratiba ya movie nzuri weend hii halafu select timetable.

Wenye wivu wajinyonge najuwa yanapita hapa kimyakimya kama mabundi.

Hahahahaa Matola bwana?eti kama mabundi!
Na kweli leo yatapita hapa hatariiiii
 
Last edited by a moderator:
Kule Ig team ndomo wanatukana matusi utadhani wameahidiwa mbingu!!
Kweli nimeamini mtu akikazana kukwambia we una chuki ujue ye ndo anayo mara mia yako!

Kiba wauweeeee mfalme wauweeee
Ambulance zipo za kutoshaaa!!!

Mwenzangu nimepita huko kuna mpambano wa hatariiii
Kiba naye alivyo genius kaweka picha bila caption....basi watu wanauwanaje huko?
 
Back
Top Bottom