Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ama kweli we bado mtoto. Hiyo offer ya kwenda Didi's akitokea Diva Beyonce le queen mwenyewe unadhani utaipata?? Thubutu
Matola anazuga tu hapa na mtindo wa sweet nothing, bado hajakabwa na wife wake.....uwiiiiii (kwani lala moko yumo siku hizi jamvini?)


hahaaa!! bora umemwambia mama, maana namuona tu anavyofurahia kuwa (by the way) nitafanyaje sasa!!! hahaaaaa! Ms.Lincoln kwahiyo wewe ndio kiraka cha matola? ngoja ije suruali mpya diva uone utavyotupwa
 
Last edited by a moderator:
sasa mwl we ubize unatoka wapi na wakat shule zimefungwa? au ndio mambo ya kuhudumia familia?

niko martenity ndugu na maisha yenyewe haya ualimu upo na mengine yanaenda nna likizo ya mwaka namalizia malizia
 
Aaaah mwalimu disemba hii likizo bhana au nawe wa kwako unawaandalia ada za chekechea?

hahahaaaa....
shosti umejuaje soon ntawaletea bizness mniunge mkono humu jamvini
unajua nami nataka wanangu walau wajue kusema"the car is on the chair"maana huko primary skuli kwetu majanga matupu
 
Kule Ig team ndomo wanatukana matusi utadhani wameahidiwa mbingu!!
Kweli nimeamini mtu akikazana kukwambia we una chuki ujue ye ndo anayo mara mia yako!

Kiba wauweeeee mfalme wauweeee
Ambulance zipo za kutoshaaa!!!

ngoja nende
 
Ama kweli we bado mtoto. Hiyo offer ya kwenda Didi's akitokea Diva Beyonce le queen mwenyewe unadhani utaipata?? Thubutu

Matola anazuga tu hapa na mtindo wa sweet nothing, bado hajakabwa na wife wake.....uwiiiiii (kwani lala moko yumo siku hizi jamvini?)
Haa wakati wa vigori huu Ave!!Naona nataka kupambanishwa na kubwa la mAadui Africa mashariki na kati!!Wee sikatai hata kwa kuzuga chance kama hizi mara moja moja!...(.mkuje kuniona ICU mwenzenu yakinikuta)
 
Last edited by a moderator:
hahaaa!! bora umemwambia mama, maana namuona tu anavyofurahia kuwa (by the way) nitafanyaje sasa!!! hahaaaaa! Ms.Lincoln kwahiyo wewe ndio kiraka cha matola? ngoja ije suruali mpya diva uone utavyotupwa

Jamani sisi wote ni Familia moja mbona tunaleteana majungu kiasi hiki? Wewe mwanzo umejifanya mtoto humu bado bikra sasa saa hizi unataka kuvuruga ya wenzako.
 
Last edited by a moderator:
hahaaa!! bora umemwambia mama, maana namuona tu anavyofurahia kuwa (by the way) nitafanyaje sasa!!! hahaaaaa! Ms.Lincoln kwahiyo wewe ndio kiraka cha matola? ngoja ije suruali mpya diva uone utavyotupwa

Naona mnajitahidi kunivurugia nisiende movie!!aaargh akitokea nasema ni maneno tyuuu
 
Last edited by a moderator:
Jamani sisi wote ni Familia moja mbona tunaleteana majungu kiasi hiki? Wewe mwanzo umejifanya mtoto humu bado bikra sasa saa hizi unataka kuvuruga ya wenzako.

Ha ha ha!!Ila sweetie naniliu la.. Yupo wapi!?
 
hahahaaaa....
shosti umejuaje soon ntawaletea bizness mniunge mkono humu jamvini
unajua nami nataka wanangu walau wajue kusema"the car is on the chair"maana huko primary skuli kwetu majanga matupu

Hahah ze car iz on ze cheya
Haya mwalimu kila la kheri!
 
Haa wakati wa vigori huu Ave!!Naona nataka kupambanishwa na kubwa la mAadui Africa mashariki na kati!!Wee sikatai hata kwa kuzuga chance kama hizi mara moja moja!...(.mkuje kuniona ICU mwenzenu yakinikuta)

Kumbe unajua eeeh!! We jidai nunda tu mi ntakuletea malimao si unajua tena majeruhi hawawezagi kula zaidi ya matunda tu!
 
Jamani sisi wote ni Familia moja mbona tunaleteana majungu kiasi hiki? Wewe mwanzo umejifanya mtoto humu bado bikra sasa saa hizi unataka kuvuruga ya wenzako.


hahaaaa!!! mi siharibu natengeza jamani, nampenda sn Ms.Lincoln maana naona anainusa icu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom