Asante kwa kunisikiza wangu.
Ova
Ha ha ha ha!!umenikumbusha mbaliiiii!!Kwendraaa kafie Uyole Kenge wewe, Paulo una mikono michafu huwezi kucheza na sisi.
Nisipokusikiliza wewe nitamsikiliza nani mwingine?
You are my # 1,my 1 and only!
guud komaa kiba mzki wetu uende mbali
Ha ha ha ha!!umenikumbusha mbaliiiii!!
Akuu!nilikua nasoma vitabu ivo kaka zangu ndio walitumia 99 havikuwepo atii!!(Kwa sauti ya kitoto)Najuwa itakuwa kwa Paulo tu, kama ulipitia enzi hizo basi tunaweza kuwa rika moja hawa wa Murugo generation hawaelewi kitu hapo.
Akuu!nilikua nasoma vitabu ivo kaka zangu ndio walitumia 99 havikuwepo atii!!(Kwa sauti ya kitoto)
Oooops!! hatimae pesa ya kurecord imepatikana, Mungu ni mwema
Hahahahahahaaaa! Hakuna cha kuogopa tena. Nikuambie kitu, yaani leo nimejuta sana kuwa huku mbali.Kweli kabisa,kwa kua hatuvunji sheria tunaogopa nini?au tumuogope nani kwa mfano?
Na watuwache tulale kwa raha zetuuuu!
Hahahahahahaaaa! Hakuna cha kuogopa tena. Nikuambie kitu, yaani leo nimejuta sana kuwa huku mbali.
Ova
Worry not mrembo wangu.Ohhh!usijali baby najua unatafuta jamani!Ili ukirudi tu naenda zangu bandarini kuchukua lamboghini langu namie!Nini murrano bwana?
Hahahaaaa...lol
Mhhh mbona ka una hasira kulikoni ushauri wako nini sasa calm down