Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #4,521
Nilikuqote wewe!ukaanza kuvurumisha mawe!!Siwezi kujisifu matusi kama kawaida yenu!!I don't care whether iuna PHD ya matusi au ya ngono!!Hoja yangu inabaki pale pale Kiba is the best!!Mwache Abdul auze sim used ila video ya mwana is on its way!
Mbona umenisahau bibie?Kijiji hakikosi wazee....am back!
ofcourse Kiba is the best thus y doesn't depend on/create scandals before releasing his music!Kama wewe ni legend wa hapa javini utakumbuaka wakati huu Uzi unaanza nini kilikuwa kinazungumuziwa ,
1.lengo la uzi ilikuwa kumshauri kiba apige hatua kimuziki .then uzi ukabadilika ukawa "discussion and argument" mpaka sasa ndio kinachoendelea hapa who is correct and wrong ? ukubali ukatae kiba anafanya muziki ashindane na diamond "na diamond the same anafanya hivyo hivyo kumbuka hatukati kushindana "development is due to ideas that contradict " wale professional wa general study mtani ni correct if am wrong " ......ila je kiba is best than diamond that is the question of interest ?
Foleni ya Upanga leo ijumaa imenikata stimu saa nzima natafuta kuchepuka nikitulia nitarudi hapa kuwashikisha adabu visabengo wote.
Asante kwa kumwambia kweli itamuweka huru tu hawa wanajisahau sana ushabiki wa kawaida wanaweka matusi ha ha ha ha kejeli mwisho Tandale mjini kila mtu Ali Kiba the King
huhuhuuuu nawadetiketia lisongi "mapenzi yanarun dunia", haya ndio maneno sasa, sio mnajifichaficha nini sasa??? we only live once u know!!! hahaaaaa nifah ulikuwaga unanishushua nn sasa?? kaone
Mwana onset 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Nipo kijijini huku KITAGUTITI so network inasumbua sana hadi nipande juu ya mti!Jembe langu!!Ulinichunia chuniii!!I missed u,ona sasa mtaa wa pili wanatapika nyongo!kisa 'Mwana'
Atoto yale ulosema yanatokea!!ha ha ha,nakwambia mshumaa nimebutuliwa kulee baada ya umeme kurudi!!ngoja nikikite kwenye mada!!Ally kiba anaasababisha watu wanajisifu walivo viwembe!
☺☺☺hivi hii ilikua wapi?
Niko interior wangu,nimekuja kuhakikisha hapo 14 december UKAWA tunapiga 3 bilaulikuwa wapi jamani? welikamu
Hahahaaa poleeee mimi mwenzio lile lilikua ni game nalicheza as a trick ya kumpima my Mdakuzi
Sasa wewe bila kujua nakutumia ukalicheza game vizuri hatariiii
Hahahaaa nilikua nacheka sana.
But,at the end of the day I appreciate Mdakuzi as a real man... alifaulu huu mtihani kwa kiwango kikubwa hadi nikashangaa!!!
Matola na geniveros naona leo walikua wanadeal na yule pashkuna first class amewaandikia magazeti mareeeefu mpaka huruma na bado!!Mwana tuuu maneno mengi kama report ya budget je ikitoka ngoma nyinginee!?
Vyovyote utakavyo iwe shemeji au kaka ila sitaki kusikia eti 'shem darling...' uwiiiiiii nitakufa na mtu this time