ofcourse Kiba is the best thus y doesn't depend on/create scandals before releasing his music!
Umenigaya wangu....afu tayari wajanja wameshakwapua!Kill music awards hiyo 2012 kama sikosei alipokea kutokana na wimbo wa dushelele kuchaguliwa kama wimbo bora wa rhumba
Umenikumbusha hii siku tulishangilia hadi majirani wakatushangaa...nimeanza kumpenda Kiba long time sana
Woza Friday, another day another dollars.
nifah tangu jana nikipita kwa Le Mutuz a.k.a Le billionare kule Insta kuchungulia umbea nakuta account yake iko plain vipi vijana wameshamfanyia cyber attack? Maana hakuna hata picha ya mbebez mmoja.
penda sana ww team kiba tupo juuuu
Kill music awards hiyo 2012 kama sikosei alipokea kutokana na wimbo wa dushelele kuchaguliwa kama wimbo bora wa rhumba
Umenikumbusha hii siku tulishangilia hadi majirani wakatushangaa...nimeanza kumpenda Kiba long time sana
Tupo pamoja mkuu!basis on free mind who is the best talented person or hardworking person?then we will discuss...Unapojibu swali kama hili inabidi uwe na free mind ..
Utofautishe talented person and hardworking personal
kama.mtu ni talented then akawa lazy ukubali ule utalented wake hauwezi onekana kabisa but kama una medium talent ukawa hardworker lazima uonekane talented hata kama unalazimisha ... Sasa mkuu kwa mtazamo wako binafsi kati ya diamond na kiba nani ni hard worker kwenye music kabla then we will estimate by deflection..from the inflection point..... Buku saba FC
Ha ha ha kwahyo asitoe nyimbo nyingine kwa sababu alikua kimya na asikimbie marathon kwani yeye anatoa nyimbo kushindana na mtu acha vituko atatoa tu nyimbo bora yeye katoka mchangani hadi kuwa hero na raha ya mbio kumalizia kuwa mshindi popote alipo nyimbo atatoa tu vzuri and haters gonna bounce this time teh teh The king is back
Ooohhh my heart!!!Thanks a lot baby
Kwanza jamaa ayupo S.A
Pili wanadai anamuiga Domo
Wamesahau kipindi mac mugga inatoka video ilipgwa south na kipndi hicho domo alikua anauza ndala karume
Wamesahau Mali yangu imepgwa USA
Tatzo awa watoto wameujua mziki Jana baada ya kupata Tecno za kununua mikononi kwa watu elfu kumi ndomana wanaropoka
Kiba kaanza kwenda mbele then Tandale akafata Jana
Wait collabo na mmarekani
mkuu talented person like Ally Kiba you can't compare with hardworker like Nassbu,Unapojibu swali kama hili inabidi uwe na free mind ..
Utofautishe talented person and hardworking personal
kama.mtu ni talented then akawa lazy ukubali ule utalented wake hauwezi onekana kabisa but kama una medium talent ukawa hardworker lazima uonekane talented hata kama unalazimisha ... Sasa mkuu kwa mtazamo wako binafsi kati ya diamond na kiba nani ni hard worker kwenye music kabla then we will estimate by deflection..from the inflection point..... Buku saba FC
sasa nahamishia majeshi kwako au nawe umeshakua njia kuu somewhere??
Nipo kijijini huku KITAGUTITI so network inasumbua sana hadi nipande juu ya mti!
Juzi nimemtest home boy mmoja anirushie ngoma ya 'mwana'kwanza alinishangaa sana why sina hiyo nyimbo afu nimetoka town?nikamueleza hiyo nyimbo nilikuwa nayo but now nime format memory card yangu ....akanambia ok but lazima nimpe 500tsh coz yeye aliwekewa kwa 300tsh!
Nikamuuliza mbona mwezi uliopita ulinirushia wimbo bure?Akanambia tofautisha thamani ya huo wimbo na huu wa mwanadarisalam!
Nawambieni sio town to hata huku interior mwanadarislam unabamba sana
Ni hayo tu
Umenigaya wangu....afu tayari wajanja wameshakwapua!
ha ha ha haaaaaa!but ujanja sio kuwah