Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ooooh,honey Mdakuzi mi najiandaa kulala ila hapa nasikiliza muchuuzi by Rema...please utafute tuungane pamoja kuusikiliza until tommorow sweetdarling ......goodbye

Haya baby! Good night... Nikirudi home badae nakustua.
Ova
 
Last edited by a moderator:
Eee!hata mie piiia!!Angalia roho isikuchomoke tyuuu

inaanzaje kwa mfano, kwa rahaa ninazopata kwa gud music kutoka kwa kiba mie roho kwatuuuuuuu!!! hapa nangojea tu video ya mwana i wont sleep that night jamani i ll be watching again n again
 
Ooooh,honey Mdakuzi mi najiandaa kulala ila hapa nasikiliza muchuuzi by Rema...please utafute tuungane pamoja kuusikiliza until tommorow sweetdarling ......goodbye

c unajua tena mambo ya w.end!! naona Kiba anatuandalia mambo mazuriiii, hapa nasubiri tuu kwa hamuuuuuu

Mchana niliwapa taarifa kuhusu hii wakati nimenasa kwenye foleni.
 

Attachments

  • 1417807453839.jpg
    54.6 KB · Views: 72
Last edited by a moderator:
Mchana niliwapa taarifa kuhusu hii wakati nimenasa kwenye foleni.

gud news like these always makes my night, Kiba jamani he is soooo mmmmwaaaaaaa, ngoja tusubiri hii ladha jamani, cant wait
 
gud news like these always makes my night, Kiba jamani he is soooo mmmmwaaaaaaa, ngoja tusubiri hii ladha jamani, cant wait

Wale wacheza filamu za ngono waacheni waendelee kujiumbuwa huku ni matalent tu ndio yanahusika.
 
Wale wacheza filamu za ngono waacheni waendelee kujiumbuwa huku ni matalent tu ndio yanahusika.


hahaaaa!! yaani jamani kuna watoto nawaonea huruma hii dunia, kuna wengine huwa mama by chance jamani, hv unajua mwanamke ukishakuwa na watoto hata km huna jamani kujiheshimu ni jambo la msingi mno, nothing important km kuijua thamani yako na kuiishi, w.t.f.k
 

Mtu anayeimba kwa kusaidiwa na makompyuta.
 
Hahahaaa, nifah njoo huku utoe maelezo kwa geniveros... Nchi nzima inangoja video ya Mwana, majirani moyo unawadunda balaa kwa mchecheto!
Ova

i need clearly explanation
moyo kudunda must si wanafkiii mikia ya fisi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…