ndio mi shabiki bumunda
we ulitaka nimshabikie nani labda?!!!
au labda kua mvivu ndo kukosa mashabiki?
au unatafuta umaarufu kunuka jf?
pole sana dada!!
Ndiio maana ninyi ni mashabiki mabumunda...au maandazi
kumbe unajua hilo
kihereher gani kilikutuma utuandike labda...?$!
au tujue na we upo jf?!!
haya tushajua kuna miss gracious yupo jf na amechangia kwa kiba
hongera kachukue soda kwa mangi unywee ntakulipia
Huduma ya nini shabiki mabumunda Abou Saydou
Sawa shabiki maandazi
Sawa shabiki maandazi
Sasa kwa nini uzunguke wakati shida yako ni kuliwa Zanziberi?
View attachment 209907
Mwana & Kiboko yangu videos coming very sooooooon......!!!
Gooosssshhhhhh....umaaarufu wa JF?
Kumbe hua unatafuta umaarufu wa JF
Tabia za ushabiki mabumunda huo....
Unamshabikia Loooser
Uyu dancer wa kushoto cmpendi ajui kudance
Hahahaha ujue huyo jamaa namjua ni best angu sana tulikua wote mapipa kipindi flani hivi,nilishangaa sana kumuona kama dancer wa Kiba!
Ni kweli hajui kucheza kabisa analazimisha tu,nimeona kwenye shows za Kiba ana makosa kibao!
Watu wanapiga kelele sana, lakini King Kiba amerelax ile mbaya. Ukiwa unajua utabaki kuwa unajua tu hata iweje.
Ova
Hahahahaaa aisee umenifurahisha sana!
Hiyo soon si iwe kesho tu jamani? 😕😕
King buana 🏃🏃🏃🏃
ndio mi shabiki bumunda
we ulitaka nimshabikie nani labda?!!!
au labda kua mvivu ndo kukosa mashabiki?
au unatafuta umaarufu kunuka jf?
pole sana dada!!
Hapa yuko airport anaenda wapi?