Sasa kwa nini uzunguke wakati shida yako ni kuliwa Zanziberi?
Hahhahahahah kumbe kujiongelesha kote kule, shda yake ni hyo tu! Angesema tu straight, mbona sisi huku waelewa. .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa nini uzunguke wakati shida yako ni kuliwa Zanziberi?
Hahhahahahah kumbe kujiongelesha kote kule, shda yake ni hyo tu! Angesema tu straight, mbona sisi huku waelewa. .....
Sasa kwa nini uzunguke wakati shida yako ni kuliwa Zanziberi?
Daaah sa cjui kampendea nn wakati kuna watoto mafundi kweli mtaani uku
Gooosssshhhhhh....umaaarufu wa JF?
Kumbe hua unatafuta umaarufu wa JF
Tabia za ushabiki mabumunda huo....
Unamshabikia Loooser
Kiba muda wote anatabasamu wala hana wasiwasi kabisa.
Anajiamini sana ndio maana hakurupuki anajua hasa anachokifanya.
Mmmh kumbe unapiga chabo sophial
km ni looser enhee ulitaka nimshabikie nani asiye looser?
hayo mengine sikujibu kwa sabau unatia kichefuchefu
Anazingua uyu samaki mwenye DOA
Nakumbuka show ya kwanza dar uwanja wa Taifa (usiku wa matumaini) alifanya vizuri ila show iliyofuatia ilikua ya fiesta Tanga aisee nilipiga kelele insta kwa Kiba kidogo nilie!
Alitia aibu sana,sijui anamng'ang'ania nini jamaa kilaza sana.
km ni looser enhee ulitaka nimshabikie nani asiye looser?
hayo mengine sikujibu kwa sababu hujielewi,hujijali na hhhjithamini ndo maana maswali madogo yanakushinda so may b una ubongo wa mbuni sio kosa lako
maana kati yangu na yako sijui nani ana roho mbaya ila nshajua uelewa wako unafanana na kuku
Hahahahah....kumbe mnashabikia tabasamu na sio muziki...mashabiki mabumunda...mandazi square
Mwenzangu na alivyong'ang'ania hilo bumunda!
Video completed bado kuiachia tu
Na ww c nimekuuliza ilo bumunda unauza bei gani
Anarudi apoo Tz
Duh...ukiwa shabiki mandazi taabu sana
mara mbuni mara kuku mara kujielewa
Unatumia nguvu nyiiiingi kutukana weeeee
Ukweli usemwe...unaposhabikia mtu pasipo kuwa na muziki wa maana unaaaonekana ni ushabiki mtori huo
km ni looser enhee ulitaka nimshabikie nani asiye looser?
hayo mengine sikujibu kwa sabau unatia kichefuchefu