Ali Kiba Fans' Special Thread...

Daaah sa cjui kampendea nn wakati kuna watoto mafundi kweli mtaani uku

Nakumbuka show ya kwanza dar uwanja wa Taifa (usiku wa matumaini) alifanya vizuri ila show iliyofuatia ilikua ya fiesta Tanga aisee nilipiga kelele insta kwa Kiba kidogo nilie!
Alitia aibu sana,sijui anamng'ang'ania nini jamaa kilaza sana.
 
Gooosssshhhhhh....umaaarufu wa JF?

Kumbe hua unatafuta umaarufu wa JF

Tabia za ushabiki mabumunda huo....

Unamshabikia Loooser

km ni looser enhee ulitaka nimshabikie nani asiye looser?
hayo mengine sikujibu kwa sababu hujielewi,hujijali na hhhjithamini ndo maana maswali madogo yanakushinda so may b una ubongo wa mbuni sio kosa lako
maana kati yangu na yako sijui nani ana roho mbaya ila nshajua uelewa wako unafanana na kuku
 
Kiba muda wote anatabasamu wala hana wasiwasi kabisa.
Anajiamini sana ndio maana hakurupuki anajua hasa anachokifanya.


Hahahahah....kumbe mnashabikia tabasamu na sio muziki...mashabiki mabumunda...mandazi square
 
Nakumbuka show ya kwanza dar uwanja wa Taifa (usiku wa matumaini) alifanya vizuri ila show iliyofuatia ilikua ya fiesta Tanga aisee nilipiga kelele insta kwa Kiba kidogo nilie!
Alitia aibu sana,sijui anamng'ang'ania nini jamaa kilaza sana.

Anadance uku anatazama dansa mwengne anafanya nn
 

Duh...ukiwa shabiki mandazi taabu sana
mara mbuni mara kuku mara kujielewa
Unatumia nguvu nyiiiingi kutukana weeeee
Ukweli usemwe...unaposhabikia mtu pasipo kuwa na muziki wa maana unaaaonekana ni ushabiki mtori huo
 
Duh...ukiwa shabiki mandazi taabu sana
mara mbuni mara kuku mara kujielewa
Unatumia nguvu nyiiiingi kutukana weeeee
Ukweli usemwe...unaposhabikia mtu pasipo kuwa na muziki wa maana unaaaonekana ni ushabiki mtori huo

Inaonekana ndani ya kichwa chako kuna mtori ?
 
km ni looser enhee ulitaka nimshabikie nani asiye looser?
hayo mengine sikujibu kwa sabau unatia kichefuchefu

Una kichefu chefu...una mimba binti?
Shabikia wanamuziki ambao afrika inatambua uwepo wao...sio loosers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…