Ali Kiba Fans' Special Thread...

pole sana jamani, whts wrong? may u get well soon.

Maralia
Thanks Sana hapa am listening to king's song known as wife wa dunia
Najua uujui🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
ally kiba anakipaji kizuri! Larkin namshauri awe na management mzuri ili aweze kupata promo za kutosha pia show nje ya nchi!
pia ajitahidi kutoa video nzuri!
pia atoe singo mara kwa mara (at least 3 kwa mwaka)
 
Last edited by a moderator:
Matola may I remind you of phase two ya zile zawadi...Morning!
 
Matola may I remind you of phase two ya zile zawadi...Morning!

Morning to you,

Wala usikonde nilikuwa bize kuyashikisha adabu haya majizi kwanza na mtaani kwangu tumefanikiwa kuiondo Ccm katika ramani ya mtaa wetu.

Ngoja video ishuke kwanza halafu tunakuja kuwashika hapa patakuwa hapatoshi kwa mapromo ya kufa mtu.
 
wapi naupata?

Utoupata kokote kwasabbu n unofficial songs
Kuna
Kiba ft ipupa -touch me
Umo jamaa kaua kabisa
Kuna kiba ft Ay -she makes my day
Umo ndan wote wameua
Kuna kiba -I miss you
Umo king kaimba lugha ya mzngu tu
Kuna Ali kiba na Abdu
Jitahid uzipate alafu kuna hii 👉Hella daaah bonge la ujumbe umo ndan🏃🏃🏃🏃
 

uh!!! sasa nijitahidi nizipate wakati ushasema ni un official song!!!! we naweee.........,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…