Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Kwenye moyo c kuna vyumba 4vya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye moyo c kuna vyumba 4vya nini?
vya nini?
Kwenye moyo c kuna vyumba 4
Vya kutunza kumbukumbu lol🙈🔫
hivi kumbe kutunza kumbukumbu ni kazi ya moyo na sio ubongo!!!!
Lol🙈 mi thimo
Nilisahau
Dushelele rmx ft Cabbo snoop
Nihurumie basi maana roho yangu inataka kuchomoka especially nikikumbuka kuwa Kiba huwa anauwaaaa!!!
Wengi wao ni vijana walioshindwa maisha kabla hata hawajayaanza maisha yenyewe wanadhani maisha ni rahisi kukaa kubeba mikoba ya wanasiasa na kutoa matamko ushuzi kwa ujira wa clone Smartphone za China na vijipocket money uchwara.
hahaaaa!! huyu kazi yake ni kutuchomoa roho tu, na kadhamiria kweli leo, by the way, how are you mama?
Matola tusaidiane ajira basi dah maana life ni tough kinyama alafu majamaa yanamwaga pesa kichizi nami nashindwa kuziachia naona bora nijitose tu niyasupport! Lol
Matola tusaidiane ajira basi dah maana life ni tough kinyama alafu majamaa yanamwaga pesa kichizi nami nashindwa kuziachia naona bora nijitose tu niyasupport! Lol
Kijana mdogo kama wewe hupaswi kukata tamaa na kujiunga na kundi la waovu.
Succesfull archived by hard work and determination. Never ever give up.
Lets link privately usiogope no Le project.
Yaani Abou ana makusudi huyooo....basi tu!
Am doing good bae, how about you?
Shoga ni wapi huko mapesa yanakomwagwa tukayachote wote?...lol
Shoga huku Sitimbi ni full mapesaa ila sio ya kuchota heheh! Si unajua tena Chukua Chako Mapema (CCM) wanavyopumulia mashine!!
Kijana mdogo kama wewe hupaswi kukata tamaa na kujiunga na kundi la waovu.
Succesfull archived by hard work and determination. Never ever give up.
Lets link privately usiogope no Le project.
Kijana mdogo kama wewe hupaswi kukata tamaa na kujiunga na kundi la waovu.
Succesfull archived by hard work and determination. Never ever give up.
Lets link privately usiogope no Le project.
Hahahaaaaa.... no Le project...lol
greatly okey, missed you much
Missed you too.
Maisha yanaendelea na le king wetu!