Njoo PM nikwambie 👉🏃🏃🏃🏃
hebu nielekeze, ndo wapi huko?
Niko siasani mpenzi.....uwiiiiii
Miss you sana
Na ww n mwana siasa?
hahaaaa!!! mwenzio unamuua mara ya pili jamani
Mkuu bado hujibu maswali yangu.. Hao mademu ndio wanamwandikia mistari?? Ndio wanamshauri jinsi ya kupanua soko lake na kuwa international?? Alifanyaga video na OGOPA ile kesho tayari akawa na soko la uhakika, akafanya video south akaanza kupata airtime channel o na MTV.. Akafanya colabo na davido akaingia sokoni Nigeria. Hayo yote hamyaoni mnaona ni Wema tu ndio kambeba..
Huyo kiba alikaa under the same roof na rkelly na wasanii wengine wakubwa wa Africa more than a month, then after that what happened?? Amekuja kupata akili baada ya diamond nae sasahivi angalau kapata airtime channel o. Lakini tukubali tu kama ulishakuaga on peak ukashuka kamwe huwezi rudi on peak.
Kwanza celewi we ni jinca gani
Alafu punguza stress bibie
Kuna mtu kakataa kwamba diamond hajitumi!!!?anajituma kwa wakti wake,na mbinu moja wapo anayoitumia ni hiyo.
Unapozungumza kuwa kiba alikuwa kwenye peak then akashuka unakosea saana,hajawahi kushuka.
Yuko katika nafasi ya peke yake,ndio maana fans wake tunamuita king.
Kiungwana ni kwamba maisha binafsi anayoishi diamond ni yake yeye,wala hamna mtu anatakiwa kujua jua,ila sababu anayaachia kwa lengo analolijua yeye na wachache poa.
Kimbembe ni pale mtu anakwambia views za kiba zimefika kiasi kadhaa,wewe unapanick na kusema mbona za diamond zilifika kiasi kadhaa!!he!!why pressure?
yaani huyo mambo yake ya kikekike kweli mi ndio maana simjibugi
sijui yukoje
Aisee ! Unaniangusha 🏄
Niko siasani mpenzi.....uwiiiiii
Miss you sana
Miss you sana
Kuna mtu kakataa kwamba diamond hajitumi!!!?anajituma kwa wakti wake,na mbinu moja wapo anayoitumia ni hiyo.
Unapozungumza kuwa kiba alikuwa kwenye peak then akashuka unakosea saana,hajawahi kushuka.
Yuko katika nafasi ya peke yake,ndio maana fans wake tunamuita king.
Kiungwana ni kwamba maisha binafsi anayoishi diamond ni yake yeye,wala hamna mtu anatakiwa kujua jua,ila sababu anayaachia kwa lengo analolijua yeye na wachache poa.
Kimbembe ni pale mtu anakwambia views za kiba zimefika kiasi kadhaa,wewe unapanick na kusema mbona za diamond zilifika kiasi kadhaa!!he!!why pressure?
Hata sio,basi tu na pamenishinda tayari
hahaaaa! yaani siasani ni ugonjwa wa moyo waweza jikuta umepiga cmu kofi ukadhani ndio mtu.
Dah,yani ESCROW tuliyoisikia kutoka kwa PAC leo imekua tofauti kabisa.
Kuna mtu kakataa kwamba diamond hajitumi!!!?anajituma kwa wakti wake,na mbinu moja wapo anayoitumia ni hiyo.
Unapozungumza kuwa kiba alikuwa kwenye peak then akashuka unakosea saana,hajawahi kushuka.
Yuko katika nafasi ya peke yake,ndio maana fans wake tunamuita king.
Kiungwana ni kwamba maisha binafsi anayoishi diamond ni yake yeye,wala hamna mtu anatakiwa kujua jua,ila sababu anayaachia kwa lengo analolijua yeye na wachache poa.
Kimbembe ni pale mtu anakwambia views za kiba zimefika kiasi kadhaa,wewe unapanick na kusema mbona za diamond zilifika kiasi kadhaa!!he!!why pressure?