Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Wakati huo alikuwa keshatuonyesha picha alizopiga na zali airport,analalamika kaachwa na wema,tukaambiwa pia hata gari alilopewa zawadi lilitoka kwa jamaa mwingine.tehh tehh tehh.
Chezea kick wewe.
Acha watu waonyeshe uwezo pure.
Hahaha Wema ndio anampa kick mpaka Africa nzima inamjua kumbe?? Hahahaha Kibaba yeye si analiwaga ndogo pale Ilala au unataka na hilo tulitangaze..