Ali Kiba Fans' Special Thread...

Tofauti kubwa iliyopo ni kwamba, kuna wengine ni mashabiki wa mtu, na wengine ni mashabiki wa muziki mzuri.
Mimi ni shabiki wa muziki mzuri ndio maana niko kwa King Kiba, hao wengine wanaoendea gesi ya scandal nawaachia mashabiki wa watu.
Ova

ofcoz, mie kanishawishi kumshabikia vyote, nashabikia kitu kizuri u know, i mean muziki mzuri na kijana anayejitambua 'KING', yaani huyu kijana automaticaly tu unajikuta unashabikia yote(hahaaaa its not my fault kwakweli)
 
ofcoz, mie kanishawishi kumshabikia vyote, nashabikia kitu kizuri u know, i mean muziki mzuri na kijana anayejitambua 'KING', yaani huyu kijana automaticaly tu unajikuta unashabikia yote(hahaaaa its not my fault kwakweli)

Naangalia video 3 bomba za clouds tv, Mwana imekamata namba one.

Halafu hii nyimbo mbona kwenye video inaisha haraka? Au ni utamu kunoga tu?

Cc: Mdakuzi nifah @gevineros
 
Last edited by a moderator:
Naangalia video 3 bomba za clouds tv, Mwana imekamata namba one.

Halafu hii nyimbo mbona kwenye video inaisha haraka? Au ni utamu kunoga tu?

Cc: Mdakuzi nifah @gevineros

ndio raha ya hii video mie mpaka nilihisi wimbo umekatishwa, yaani inakolea na kuisha, wimbo mtamu,video tamu,muziki mtamu, yaani walaa hauchoshi, hapana chezea kiba yaani
 
Last edited by a moderator:
Naangalia video 3 bomba za clouds tv, Mwana imekamata namba one.

Halafu hii nyimbo mbona kwenye video inaisha haraka? Au ni utamu kunoga tu?

Cc: Mdakuzi nifah @gevineros

Video ina kisa cha maisha ya kila siku ya kijana, halafu ni story rahisi na iko bomba ile mbaya hapo ni lazima uone wimbo kama umekuwa mfupi.
Nadhani hiyo ni video bora kabisa ya Godfather kwa wanamuziki wa Bongo, iko tofauti kabisa. Isitoshe King Kiba kajibeba mwenyewe sio msaada wa models.
Ova
 
Last edited by a moderator:

Nilikuwa sijatulia kuingalia kiumakini leo nipo home fulltime ndio nimeifuatilia vizuri ina TBS zote.

Wale wanaotaka Sinema badala ya muziki walete maombi itengenezwe sinema na huu wimbo ndio uwe sound track otherwise hakuna walijuwalo kwenye muziki zaidi ya umbululaz tu.
 

ingekuwa km bongo movie ingechoshaje sasa ingekuwa hata hainogi, hii idea ya video aliyeitoa ni great thinker na anajua muziki ni nini, mie nikiamka tu naamka nayo
 
Pale ndio basi tena. Ushamsikia nani anaizungumzia, au hata kueleza jinsi alivyoelewa kisa cha story ya video? Wote wanazungumzia Mwana tu, huku wamelewa story ya video.
Ova


kuna mtu nakumbuka aliikosoa na kuidadavua acha wamshukie, ila kwa kiba kihoro kikawakaba wamekazana na mwana, hahaaaa ukiwa hujui hujui tu hata ujifanye unajua.
 

Walitumwa tu wale, video iko bomba sana na ngoma yenyewe ndio usiseme sasa wakawa wanashindwa watokee wapi.
Ndio wameibuka na issue ya kutaka kumuona Mwana, bila kujua hoja hiyo inawaaibisha sana, kwani video nyingi ziko vile.
Kwani video ya Khona ya Mafikizolo ikoje? Prakatatumba ya Cabo Snoop ikoje, New Flame ya Chris Brown ikoje? Nimewadharau sana kwa hoja yao ya kudai Mwana aigize.
Ova
 

ukiona wanaisakama sana ujue inawauma ni kwann hawajawahi kuwa na idea tamu km ile, n ofcoz kamwe hawawezi kuwa nayo, kutwaaa wanaichungulia alafu wanajifanya kuiponda kumbe mioyoni wanaikubali, asoipenda ile video ana lake jambo(kama kawaida yao) na haujui muziki
 

Ndio maana nawaeleza anayetaka sinema aseme tuwatengenezee Sinema, wasilazimishe movie igeuke kuwa muziki.

Hivi hawa mashankupe wanaelewa kama Thriller ya Wacko Jacko ilikuwa ndio sinema fupi zaidi duniani kuingiza mapesa mengi na kuvunja rekodi?
 

tatizo washazoea bongo movie kwenye video sasa wamekariri kuwa ni lazima kila video iwe hivyo, na kwakuwa hawana elimu wala uelewa wowote juu ya film ndio balaa zaidi, wameeleweshwa lkn vichwa ni vifuu mpaka vipondwe ndio vickie, kuendelea kukazania kumtaka mwana sasa ni wendawazimu, wao km vp wachukue idea tamu hiyo wakatengeneze movie na uvivu wao wa kufikiri.
 
Ndio maana nawaeleza anayetaka sinema aseme tuwatengenezee Sinema, wasilazimishe movie igeuke kuwa muziki.

Hivi hawa mashankupe wanaelewa kama Thriller ya Wacko Jacko ilikuwa ndio sinema fupi zaidi duniani kuingiza mapesa mengi na kuvunja rekodi?

hahaaaa!!! hawawezi jua hilo cjui hata google hawaijui!!! dont they know that sometyms google iz a good friend!! lol
 
Nainai ukinikubali sikatai jua you always on mind (always on mind)
Ukinipa sikatai nakupenda sana you always on mind (always on mind)
Always on mind,swaga zinanimaliza....
Eeeh bwana eeh,King aliua sana kwenye hii chorus.
What's up lovely family?I miss you guys...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…