Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nainai ukinikubali sikatai jua you always on mind (always on mind)
Ukinipa sikatai nakupenda sana you always on mind (always on mind)
Always on mind,swaga zinanimaliza....
Eeeh bwana eeh,King aliua sana kwenye hii chorus.
What's up lovely family?I miss you guys...

yo missed too, yaani huo wimbo bila hiyo chorus cjui hata kama ningeuckilizaga, amshukuru sn kiba mjinga yule
 
Utamu kunoga acha kabisa.Wengi wamependa sana lile dance,Kiba katisha sana mule.
Nilichofurahi hajawaweka wale madancers wa kiume waana wangeharibu....kaua mwenyewe kinyama yani.

duuuh!! let me watch it again and again coz cant get tired of it, hakuna mashindano ni burudani tuuu, mashindano tuwaachie wasaga sumu coz thats wht they know
 
Hahahaaaa,porn star kaona kapotea kwenye media juzi kawadhalilisha ma ex zake...hasa Penny...

Nimetoka kuangalia video yao na Blacket yaleyale yakutaka kugeuza muziki kuwa sinema! Heti mgonjwa wa cancer yupo kitandani wodini na bado anaimba mwe!!

Video mbovu kabisa kumbe ndio walitaka King Kiba naye aingizwe mkenge huu.
 
Nimetoka kuangalia video yao na Blacket yaleyale yakutaka kugeuza muziki kuwa sinema! Heti mgonjwa wa cancer yupo kitandani wodini na bado anaimba mwe!!

Video mbovu kabisa kumbe ndio walitaka King Kiba naye aingizwe mkenge huu.

Hahahaaa,mimi bado sijaiona ila kama ndio hivyo basi wamefanya commedy aisee...
Hilo mashabiki wake watasifia tu walivyo mamburulazzz
 
yo missed too, yaani huo wimbo bila hiyo chorus cjui hata kama ningeuckilizaga, amshukuru sn kiba mjinga yule

Achana na yule mjinga namchukia kwelikweli yani...
Naona mwisho wake umefika aliriinga wee King alivyoamua kupumzika,King karudi sasa arudi zake kigoma kuuza dagaa wake aliowatelekeza huko.
 
Achana na yule mjinga namchukia kwelikweli yani...
Naona mwisho wake umefika aliriinga wee King alivyoamua kupumzika,King karudi sasa arudi zake kigoma kuuza dagaa wake aliowatelekeza huko.

hahahaaaaaaaaaa!!!! nicheke mie niongeze cku za kuishi, mie hata sielewagi anaimba nn maana naona anaongea tu kwenye beat
 
Nilikuwa sijatulia kuingalia kiumakini leo nipo home fulltime ndio nimeifuatilia vizuri ina TBS zote.

Wale wanaotaka Sinema badala ya muziki walete maombi itengenezwe sinema na huu wimbo ndio uwe sound track otherwise hakuna walijuwalo kwenye muziki zaidi ya umbululaz tu.

umenichekesha hasa
 
hahahaaaaaaaaaa!!!! nicheke mie niongeze cku za kuishi, mie hata sielewagi anaimba nn maana naona anaongea tu kwenye beat
Ha ha ha!!akishirikishwa huwa nauoga fulani hatoi sauti!!anamung'unya maneno tuu!!hadi huruma!!
 
Back
Top Bottom