Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
kupiga kura hampigi kazi kuja kupiga kelele humu...haya sasa ndomo wenu keshaikosa tuzo wamechukua sauti soul
nin tenaaa
mbona sielewi?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kupiga kura hampigi kazi kuja kupiga kelele humu...haya sasa ndomo wenu keshaikosa tuzo wamechukua sauti soul
Na kiba keshakosa mara ngapiiii nampenda kiba mie ananisikitisha kweliii anavyolala lala wenzie wanaitwa kushindania tuzo
We naweee.....unacheeeeka!! Ebu bakiza na cha baadae basi!! Aaaiii
Btw: nilikuwa napita tu kusafisha umande kabla sijatoa constructive idea yangu kwa Kiba.
Hakuna gharama....bureeeee unakipasua...
ja makanza mayu
Kumbe tuzo wamechukua hao mashogaaaaa
Na hakuna hasara pia....kwani Kiba si ndo tushamchagua??
Wenye hila za kunyea unga ili watu wasile na wapite kushotoooo!
Kiba bila hivi ataishia kufanya show za yanya
nin tenaaa
mbona sielewi?!!
Kumbe tuzo wamechukua hao mashogaaaaa
Da mimi nashangaa mashabiki wa mwimba playback wameshindwa kumpigia kura king wao wa playback wa East Afrika.
nin tenaaa
mbona sielewi?!!
Kuna asali na shubiri,ujana kiza na nuru....we mwana wewe mwana....
Mbona jeuri sana, ulichokifata hukupata, umekosa ulivyoacha, kwa baba yako mwana, na mama yako mwana, kwa vichache ulivyotaka na vingi ulivyoacha omamee...
Daaa kuna vituko sana humu! Mimi napenda ushindani huu uendelee mkizingatia kuto sahau kununua kazi zao!
Kule WWW.mkito.com nyimbo ya Mwana Fa feat Alikiba inaongoza kwa kupakuliwa hadi sasa!
Mtifuano wa namna hii inasaidia wasanii kuto bweteka kabisa nakujua kuwa kuna upinzani kutoka kwa wengine!
Nilitegemea Matola hapo juu kwenye thread uweke website link ya mkito.com na uwaimize mashabiki wake kununua nyimbo zake.
Hata wale wa diamond nilitegemea wafungue Uzi kuhamasisha wenzao kununua nyimbo za Dianond maana haya ya kuwasifu yanaweza yasiwasaidie kabisa lakini ambacho mashabiki mnaweza kufanya ni kununua nyimbo zao na huo ndio utakuwa upendo wa kweli na ushindani ulio na tija
Shindaneni kununua nyimbo zao!
Tafadhali msitoane macho
Anawezaje kuwashinda saut soul jamani???uwezo huo hana watu wanataka mziki mzuri sio viduku
Usimamishe mikono au kichwa au miguuuu