Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
km kawa kama
km dawa
Tunapeana updates za King wetu....uwiiiiii hiki cheo kinawauma watu balaa..ndio tushampa jamani,hamtaki kunyweni sumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
km kawa kama
km dawa
Kama ni kweli walikuwa wamesha record I am 100% sure Dayna angetoa huo wimbo kuthibitisha madai yake.
Nahisi hizi ni propaganda...
Tunapeana updates za King wetu....uwiiiiii hiki cheo kinawauma watu balaa..ndio tushampa jamani,hamtaki kunyweni sumu.
Tunapeana updates za King wetu....uwiiiiii hiki cheo kinawauma watu balaa..ndio tushampa jamani,hamtaki kunyweni sumu.
Kila mmoja alikwenda studio kwa wakati wake. Na ndio maana ilikuwa rahisi kumpindua Dayna coz Diamond alikuwa akikutana na Clever after Dayna kumpa Demo ya alikofanya yeye.
Kwa hakika Diamond alifanya, akaona anazama na mwishowe akaamua kuiomba beat kwa Clever na kurekodi kivyake verse aliyoandika kwa ajili ya Naumia.
Dayna alishasalitiwa na Clever so haikuwa rahisi kupata chochote toka kwa Clever kuhusu ule wimbo zaidi ya ile demo aliyopewa awali.
Tena mwanzoni Diamond alimwambia Clever atengeneze beat nyingine kama ile ili kukwepa madongo ya Dayna, lakini Clever akasema hakuna haja atabadilisha kidogo ileile coz Dayna hajalipia bado.
Ova
Believe me...this is who I am (wiser)...tofauti na hapo ujue na fake tu...hata hivyo nina udhaifu m1 ambao unanipelekea niwe vile...hasira,lakini kwa sasa siipi nafasi tena
ndo maana asa hivi kaimba mnanda!!
mwakani tungoje taarabu!!
Believe me...this is who I am (wiser)...tofauti na hapo ujue na fake tu...hata hivyo nina udhaifu m1 ambao unanipelekea niwe vile...hasira,lakini kwa sasa siipi nafasi tena
ndo maana asa hivi kaimba mnanda!!
mwakani tungoje taarabu!!
ndo maana asa hivi kaimba mnanda!!
mwakani tungoje taarabu!!
Safi sana wangu. Mtu akikukera usiwe na haraka ya kumjibu. Tulia uje kumjibu baadaye au mpotezee, utaweza kuepusha mambo mengi. Kweli kabisa, mimi nakukubali sana kwa ulivyo na misimamo na kusimamka unachokiamini. Walio kama wewe mko wachache.
Ova
Hahahaaa nimecheka sana hadi wamenishangaa hapa niliko. We jamaa una maneno.
Ova
Hahahaaa nimecheka sana hadi wamenishangaa hapa niliko. We jamaa una maneno.
Ova
Yeye ni King, haijalishi wao wamekubali au wamekataa.
Ova
amejipanga ndio maana amefika hapo, unadhani kafika hapo kwa kupulizwa kama moto wa kuni mbichi???? wee endelea kupuliza moto wa kiba usiowaka mpaka mashavu yapate anaemia hayo.
kama hujanielewa, ni hivi daimond alipigiwa debe ili kumpandisha?? tulishtukia tu heee yule kuleeeeee, debe zilianzakupigwa za kumshusha baada ya wa tz kama ilivyokawaida yetu kuona kijana amecross mipaka na hatujazoea, tumezoea vya kina mr. nice tu sisi.
mnalia sana na kipaji cha kiba ambacho mimi nakifananisha na kuni mbichi, kuwaka zinaweza kuwaka lakini mashavu yatakuwa taabani kwa kupuliza, nauliza, is he such good?? give him space atuoneshe, acheni kelelee.
Ebu pitaaa kulee,kama wewe sio mjinga mwenzetu hapa ulipita kufanya nini!!Kwani wewe unashabikia mpira na wacheza boli unalipwa?!wanaotengeneza hela ni hao waburudishaji hata shabiki wa mpira anaifaidisha team na wachezaji,hii ni nchi huru,hapa hatuvunji sheria!Alafu mambo ya hapa ukiyachukulia personal utazikwa siku sio zako,Paula mama wee,ushabiki mtamu kwa raha zeeetu!kuna watu unawajua akili zako kwa vitu wanavyopost, yaan na akili zako unapost upumbav et team Alikiba??, yaan umekosa kabisa cha kufanya unaleta ushindani usio na maana, na wajinga wengine wanasupport huu upuuzi, habar ya team wema , diamond , alikiba n upuuzi, pipo are makng money while you are making nothng, af unajifanya mjuaji, msomi na mwelewa, yaan mekudharau kwa hii post yako!!!, cdhan hata kama una elim ya form four, umejaa uswahol na majungu, shame on u matobo, ooh sor matola
Ebu pitaaa kulee,kama wewe sio mjinga mwenzetu hapa ulipita kufanya nini!!Kwani wewe unashabikia mpira na wacheza boli unalipwa?!wanaotengeneza hela ni hao waburudishaji hata shabiki wa mpira anaifaidisha team na wachezaji,hii ni nchi huru,hapa hatuvunji sheria!Alafu mambo ya hapa ukiyachukulia personal utazikwa siku sio zako,Paula mama wee,ushabiki mtamu kwa raha zeeetu!
Ebu pitaaa kulee,kama wewe sio mjinga mwenzetu hapa ulipita kufanya nini!!Kwani wewe unashabikia mpira na wacheza boli unalipwa?!wanaotengeneza hela ni hao waburudishaji hata shabiki wa mpira anaifaidisha team na wachezaji,hii ni nchi huru,hapa hatuvunji sheria!Alafu mambo ya hapa ukiyachukulia personal utazikwa siku sio zako,Paula mama wee,ushabiki mtamu kwa raha zeeetu!