Hahahaaa habari wanazo mbona,waacheni tuone watafanya nini bila uwepo wetu kule....
nimefuta comments yangu kule
jamani watu waswahili sana lloooh
kumbe roho zilikua zinauma eeeh
Kweli mtaa wa pili wameishiwa ubunifu kaaah!sionekani ng'oooo!Hahahahaaaa naona mtaa wa pili wameiga wazo letu la special thread....
please guys waacheni wafanye yao,nawaombeni sana nisiwaone kule kwa vyovyote vile hata Kiba akipondwa vipi...
Hop wote ni waelewa,tumeelewana...
Kashangae kwanini kila akitajwa dai malaya naye anatajwa!!ofkoz kwenye msafara wa mamba na kenge wamo,so kushangaa mwisho mara moja!!Huu uzi unanishangaza sana headline ni kibba contents zinamzungumzia diamond
Kweli mtaa wa pili wameishiwa ubunifu kaaah!sionekani ng'oooo!
Alli kiba ni nani ? .
heheiyaaaaaaaaaaKashangae kwanini kila akitajwa dai malaya naye anatajwa!!ofkoz kwenye msafara wa mamba na kenge wamo,so kushangaa mwisho mara moja!!
Sana mimi ndio maana nataka muwaache na mambo yao....
hahahaaa nilienda kuwapa ukwi sie hatunaga chuki wala ugomvi na team kudandia nyota za mademu
bila mademu no kick weraaaaaaa
matola uko wapi our herrrrrrooooooo
Jana nimemaliza kazi usiku sana na leo naamka na paper work lakini nafanyia home tupo pamoja, nimecheka kweli mtaa wa pili wametuiga bila hata kutupa credit, wana roho mbaya hawa jamaa!!
Haaa!!ndo nini sasa!I dont know your age but i think you're too old for that
I dont know your age but i think you're too old for that
Haaa!!ndo nini sasa!
uzee mwisho chalinze mjini wote honeeey, labda ungenieleza tatizo liko wapi mimi kujimwaga hapa na mashabiki wa kiba pamoja?
mashabiki wa ally kiba wajumuike hapa kumpa ushauri what is next baada ya mashabiki kuonesha mapenzi yao ya dhati kwa kiba kwenye fiesta na kuandika historia mpya tanzania.
Mimi kama matola nitatumia effort zangu binafsi kuhakikisha nakutana na kiba na manegement yake ili kuwapa mikakati ya mfalme huyu aweze kuutunza huu ufalme wake.
la kwanza niko tayari kutoa tshirt za kiba zenye kiwango ambapo shughuri ya kuziandaa kuna kampuni iko south africa inaweza kuleta tshirt katika viwango vya usa.
warumi nifah geniveros
nisaidieni kuwaita wadau ili tumtengeneze ally kiba sasa na nitahakikisha anafunguwa id hapa kwa jina lake ili kujibu maswali ya wadau pale patakapokuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo. Yeye siyo wa level ya instagram.