Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaa habari wanazo mbona,waacheni tuone watafanya nini bila uwepo wetu kule....

nimefuta comments yangu kule
jamani watu waswahili sana lloooh
kumbe roho zilikua zinauma eeeh
 
Huu uzi unanishangaza sana headline ni kibba contents zinamzungumzia diamond
 
Hahahahaaaa naona mtaa wa pili wameiga wazo letu la special thread....
please guys waacheni wafanye yao,nawaombeni sana nisiwaone kule kwa vyovyote vile hata Kiba akipondwa vipi...
Hop wote ni waelewa,tumeelewana...
Kweli mtaa wa pili wameishiwa ubunifu kaaah!sionekani ng'oooo!
 
Huu uzi unanishangaza sana headline ni kibba contents zinamzungumzia diamond
Kashangae kwanini kila akitajwa dai malaya naye anatajwa!!ofkoz kwenye msafara wa mamba na kenge wamo,so kushangaa mwisho mara moja!!
 
hahahaaa nilienda kuwapa ukwi sie hatunaga chuki wala ugomvi na team kudandia nyota za mademu
bila mademu no kick weraaaaaaa
matola uko wapi our herrrrrrooooooo

Jana nimemaliza kazi usiku sana na leo naamka na paper work lakini nafanyia home tupo pamoja, nimecheka kweli mtaa wa pili wametuiga bila hata kutupa credit, wana roho mbaya hawa jamaa!!
 
Uwiiiii jamani miss Strong na geniveros hamjaliona LE TAMKOZZZ au?waacheni na mambo yao...please

Jamani Le Tamkoz na liheshimiwe na fans wote, mimi nilipita kule kabla ya kuliona Le Tamkoz.

Hawatoniona tena kule hata mtu akimention jina langu.
 
Last edited by a moderator:
Jana nimemaliza kazi usiku sana na leo naamka na paper work lakini nafanyia home tupo pamoja, nimecheka kweli mtaa wa pili wametuiga bila hata kutupa credit, wana roho mbaya hawa jamaa!!

I dont know your age but i think you're too old for that
 
Matola usijishushie tena hadhi yako kule mtaa wa pili,yani kuonekana kwako kule ni credit tosha kwa wazee wa kuiga...
 
mashabiki wa ally kiba wajumuike hapa kumpa ushauri what is next baada ya mashabiki kuonesha mapenzi yao ya dhati kwa kiba kwenye fiesta na kuandika historia mpya tanzania.

Mimi kama matola nitatumia effort zangu binafsi kuhakikisha nakutana na kiba na manegement yake ili kuwapa mikakati ya mfalme huyu aweze kuutunza huu ufalme wake.

la kwanza niko tayari kutoa tshirt za kiba zenye kiwango ambapo shughuri ya kuziandaa kuna kampuni iko south africa inaweza kuleta tshirt katika viwango vya usa.

warumi nifah geniveros

nisaidieni kuwaita wadau ili tumtengeneze ally kiba sasa na nitahakikisha anafunguwa id hapa kwa jina lake ili kujibu maswali ya wadau pale patakapokuwa na ulazima wa yeye kufanya hivyo. Yeye siyo wa level ya instagram.

umeona fursa hamna kitu kingine.... u aint that loyal....
 
Back
Top Bottom