Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mwana inarindima kwenye BBA wakati huu. Housemate wote wanapiga mduara. Kiba kaeleweka hadi kwa wasiojua Kiswahili.
Ova

Ayayayaaaaaaa kumekucha,na bado huo ni mwanzo tu wa audio....video je?tutazika watu mwaka huu
 
Kuna mjinga alikuja hapa kunichokoza baada ya kuona siendi kule kwao...nikatulia akaingia mkenge akamwaga matusi weeee akidhani nitajibizana nae,mimi walaaa alifeli kwa hilo sasa hivi yupo kifungoni mimi napeta...

Ile fitina niliifanya kimyakimya niliyaona yale matusi, nikaona nikimbize mwizi kimyakimya.
 
Alisema ana page tu fb 👉👉officialAliKiba jina la page
Ila izo account zngne ni wahuni tu wanafungua

Huu ndio udhaifu mkubwa wa Kiba kinachombeba ni kipaji tu otherwise angeshafia Uyole.

Vinega chini ya Sugu walifanikiwa kuifunika Clouds kwa sababu walitegemea zaidi social Networks.

Kiba kama ana Management basi aachane nayo haraka sana.
 
Huu ndio udhaifu mkubwa wa Kiba kinachombeba ni kipaji tu otherwise angeshafia Uyole.

Vinega chini ya Sugu walifanikiwa kuifunika Clouds kwa sababu walitegemea zaidi social Networks.

Kiba kama ana Management basi aachane nayo haraka sana.

Alafu bila management inakuaje
 
Jamani...Le Tamkozz Limewaumiza mtaa wa pili wanaishia kuqoete na kucopy thread,ndiyo kwenye uzi wao hatuendiiii,kwani lazima!!kama walianzisha uzi kumdiscuss Kiba hapo sawa,wanaishia kutokwa povu tuu...nyoooo!

wamefuli umedoda hatariii na tumewadisss
sio lazima wote tuimbe...!!
 
Ile fitina niliifanya kimyakimya niliyaona yale matusi, nikaona nikimbize mwizi kimyakimya.

Hahahaaaa na hiyo ndiyo dawa yao sasa hivi...wanataka kututoa fahamu tupigwe ban washerehekee
 
Aachane nayo awaengage wengine...ujue mziki ni kazi kama kazi nyingine inahitaji umakini sana,ni biashara ngumu ajue hilo.

Kweli kabisa,Kiba ni msanii mkubwa anatakiwa kuwa na management ya maana tena wasomi wanaojua wanafanya nini sio ujanja ujanja wa mjini
 
wamefuli umedoda hatariii na tumewadisss
sio lazima wote tuimbe...!!

Hahahaaa watu hadi wanaji quote wenyewe nimecheka balaa..
Mwanzo walianza kumdiscuss warumi,wakahamia kwa le mutuz sasa wana mbutananga....tutaona mengi kwa mwendo huu...
 
Hahahaaa watu hadi wanaji quote wenyewe nimecheka balaa..
Mwanzo walianza kumdiscuss warumi,wakahamia kwa le mutuz sasa wana mbutananga....tutaona mengi kwa mwendo huu...

mi hata kupita sipiti na hapigwi ban mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…