Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
kuwa na fursa haina maana utaacha kutafuta fursa nyingine.....unafikiri hao wanaopiga escrow na zamani epa hawakuwa na fursa before....
wapi nimesema dhambi?? Nimetoa maoni yangu....kaona fursa anaichangamkia, he aint that loyal.
Umemaliza mawaidha yako?
Haya kafie mchamba wima!!