Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahaaa watu hadi wanaji quote wenyewe nimecheka balaa..
Mwanzo walianza kumdiscuss warumi,wakahamia kwa le mutuz sasa wana mbutananga....tutaona mengi kwa mwendo huu...

Bado wale wa multiple ids, watakuwa wanajicommentisha mpaka basi....mradi waongeze idadi.
 
Wanagongana lugha mara ooh sio mashindano mara sijui kieenda kimerudi yani ule ni uzi wa kigodoro sijaona la maana wanalofanya so far,wanatia huruma hatari wana matusi wachaa!!
 
Wanagongana lugha mara ooh sio mashindano mara sijui kieenda kimerudi yani ule ni uzi wa kigodoro sijaona la maana wanalofanya so far,wanatia huruma hatari wana matusi wachaa!!

mwanadslam naskia umepigwa ndani ya BBA?!!
 
Wanagongana lugha mara ooh sio mashindano mara sijui kieenda kimerudi yani ule ni uzi wa kigodoro sijaona la maana wanalofanya so far,wanatia huruma hatari wana matusi wachaa!!

Shoga acha tu nilivamiwa hapa nikatukanwa hatari....walinisubiri niende kule wapate cha kusema hawajaniona basi wawili wakanivamia...mmoja nikampotezea mwingine nikamjibu kistaarabu tu manake najua alikua ananichokoza basi akatukana weeee kilichompata anakijua...sina muda wa kutukanana na mtu kwa kweli,tufanye yetu sasa

Tuangalie ni jinsi gani tutamsapoti Kiba kama lilivyo lengo letu
 
Jamani jumatatu ijayo (keshokutwa) Ali Kiba atakua kwenye planet bongo EATV tujitahidi kukitazama ili tuone kama hao dancers wameimprove au lah maana kuna show moja ilikua ya fiesta moshi walikera sana...
 

kwa hilo ulinifurahisha hatari, maana nilihisi utalianzisha bt ulivyokaa kimya duuh nilifurahi sn, ukimya ni jibu tosha sn kwa mjinga
 
kwa hilo ulinifurahisha hatari, maana nilihisi utalianzisha bt ulivyokaa kimya duuh nilifurahi sn, ukimya ni jibu tosha sn kwa mjinga

My dear kuna watu hawanipendi jamani kisa nampenda Ally Kiba na wanichukie tu nitazidi kuushikilia msimamo wangu...kama unakumbuka vizuri yule anapenda kunitafuta ugomvi sana fist time alinipata lakini juzi nimempata....
Na kuanzia sasa sitomjibu chochote.
 

nakumbuka vzr hilo timbwili mama, hv jamani kwann umlazimishe mtu ampende mtu mwingine? mtu mmoja hawezi pendwa na wote so ni bora ukaheshimu hisia za mwenzio hata km zinatofautiana na zako, now matusi tuwaachie watukane wee sie tufanye yetu
 
nakumbuka vzr hilo timbwili mama, hv jamani kwann umlazimishe mtu ampende mtu mwingine? mtu mmoja hawezi pendwa na wote so ni bora ukaheshimu hisia za mwenzio hata km zinatofautiana na zako, now matusi tuwaachie watukane wee sie tufanye yetu

Ndio tufanye hivyo kweli,matusi no katika thread yetu...Kiba fans naamini ni watu wenye busara kama Kiba mwenyewe
 
Wachokozi wale,walimtukana Warumi mpaka basi,yani mtu akuchukie kisa mmetofautiana fikra!ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…