Hey Viol ni video gani hiyo ambayo imewahi kuchukua miaka?wimbo wa mwana umetoka mwezi wa saba that means ni miezi minne tu na video iko tayari lakini hatuwezi kumlazimisha kwa sababu hatujui ana mipango gani.
All in all Kiba ni msanii mkubwa naamini anajua anachokifanya japo sometimes anakua na vijimakosa vya hapa na pale ila nae ni binadamu ndio maana sisi kama fans wake tukaamua kuanzisha thread hii ili tumkumbushe pale tunapoona hapako sawa ...
Mwisho utataka nikulipie hata DSTV. Kila unayedai ni tomaso mwambie, mwambie akitembea mtaani akiona nyumba ina dish la DSTV awaulize wenye nyumba kama aliona wakati BBA Housemates wako disco. Awaulize ni wimbo upi wa Bongo ambao housemates wote walicheza? Tena walicheza kwa mduara.
Ova
Ah ww aly k ana watoto huyo kidampa wenu hana hata mdoli wa kuzugia
Namkubali sana ila ukimya wake unazidi mno,kumbuka fiesta "king is back"then kimya tena kuanzia hapo
Umeona eeh!Hapo Mkuu alinijibu kwa kejeli but hakutumia tusi.....huo ndo ushabiki haswaa siyo unatumia matusi nyuma ya keyboard afu unashindwa kumsapoti msanii wako hata kununua CDs zake!Hahahaaaa umenichekesha sana....thou sikuwahi kutegemea kua na wewe una majibu hivi
Hongeren sana kwa kuwa wavumilivu,hakika kwa matusi mliyotukanwa daah!Wapuuzeni hao,naamini ni watoto waliomaliza kidato cha 4 hivi karibuni....hakika nimejifunza utofauti wa mashabiki wa Diamond na Ally Kiba!
Ntaendelea kuwa shabiki wa Ukweli wa Diamond na Ally Kiba bila kumtusi opposer wangu.....Mchana mwema wapendwa!
huu uzi nimegundua wachangiaji wengi watoto wa daslaam na arusha kidogo wale wajanja wajanja na kama kuna wa mikoani basi wajanja sana!tofauti na ule uzi wa yule dogo mwingine full wagoroko
Umeona eeh!Hapo Mkuu alinijibu kwa kejeli but hakutumia tusi.....huo ndo ushabiki haswaa siyo unatumia matusi nyuma ya keyboard afu unashindwa kumsapoti msanii wako hata kununua CDs zake!
Shame on them!
Hahahaaaa umeona eeh?Mimi niliwahi kusema wale wengi wao wako vijijini wanawasikiliza wenzao wa tandale alafu wanatupigia kelele nyiiiingi tu hawajui kinachoendelea hapa mjini....
Hahahaaa nimekupendaje jamani?karibu chamani mpenzi
Na Musa Zungu alishatoa wazo bungeni kuwe na beria za kutoza ushuru kuingia Dar na kuingia City center maana wengine wanatuongezea foleni bure kwa kuja kuboomboom tu mjini a.k.a wapiga mizinga.
Na Musa Zungu alishatoa wazo bungeni kuwe na beria za kutoza ushuru kuingia Dar na kuingia City center maana wengine wanatuongezea foleni bure kwa kuja kuboomboom tu mjini a.k.a wapiga mizinga.
Eee bwana eeh wimbo wa kiboko yangu ni mkali sana,nimeusikiliza weekend yote...sasa ndio naanza kukuelewa Deo
Nikikipitisha ujue kikali,sijawahi kushabikia kibovu
Ndo maana sijawahi kushabikia Jafarai
Nikikipitisha ujue kikali,sijawahi kushabikia kibovu
Ndo maana sijawahi kushabikia Jafarai