Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nomination moja. Mwenzio ana zaidi ya tano. Then you are called King. Duh
 
Mpaka Sasa Sijaanza Kukuingiza.Nasubiri Uondoe Kwanza Hiyo Harufu Mbaya Nnayoisikia.Sina Uhakika Ni Ya Mzoga Uliooza Au Ni Kitu Gani Kilichovunda.
Hahahaaaaa wewe jamaa nimekuogopa, khaaaa!
 
Ukishavote pale pale unaclick kwenye comments then unaingiza jina lako , email na unacomment ukishacomment utaona pia comments za watu.# pwilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…