Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Yani watu ndo kuvamia hyo page kwa fujo zote. Yani Nita vote Mpaka vidole viombe poo.Wamezidiwa wenzenu...chezea King kawa nominated wewe?
Wenyewe watashangaa wingi wa kura kama KTMA.
Usijali katika hilo mkuu, hawa tumeshawazoea hawatupi taabu.Nifah m nishapiga kura, Piga kura achana na hao wasiojua walitendalo.
Hahahaaaaa wewe jamaa nimekuogopa, khaaaa!Mpaka Sasa Sijaanza Kukuingiza.Nasubiri Uondoe Kwanza Hiyo Harufu Mbaya Nnayoisikia.Sina Uhakika Ni Ya Mzoga Uliooza Au Ni Kitu Gani Kilichovunda.
Waliotaka Kiba awe nominated ndio wamuite international
Waje tu
Mwenyewe nafungua haifunguki sijui kwa nini
Afu haifunguki kwa saiv au ni kwangu tu.. ww umejaribu imefunguka????
#KingKiba_Forever
#We_Love_Our_King
tumia operamin co browser inakataa
so what do u need hereHata browser inakubali haya kachaji simu basi ucku mwema ππππ
umeikuta wapi hii mkuuSiku njema
tumia opera co browser inakataa