Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wewe Kidingi umesikia? Kaka yangu hakutaki etii.
Kafanye kujipendekeza kwingine bro wangu hazamagi topeni.
Mkuu Th Name nakuja pm

Daaah kwani Kukuchukua wewe haitoshi anataka na yeye nimuweke ndani???





MINYOOSHO TU DADEKIIIII!!!
 
Last edited by a moderator:
Acheni kufanisha kifo na usingizi, Diamond ni level nyingine. Endelee kupiga kelele mwenzenu anasonga mbele. Hata kama hujui hesabu kabisa lakini huwezi kukosa hii 7-1=??
 
Acheni kufanisha kifo na usingizi, Diamond ni level nyingine. Endelee kupiga kelele mwenzenu anasonga mbele. Hata kama hujui hesabu kabisa lakini huwezi kukosa hii 7-1=??

Mkuu tafadhali sana rumbesa achana nae kwa muda

EMBU ANGALIA TULIVYOWAGALAGAZA WAKINA WIZKID NA DAVIDO KWWNYE HIZI NOMINATIONS
 
Daaah kwani Kukuchukua wewe haitoshi anataka na yeye nimuweke ndani???





MINYOOSHO TU DADEKIIIII!!!

Wewe unavyojitongozeshaga kwake huonagi? Hahahaaa hakutaki atiiii.
Ukiona id yake naona una data sana hahahaa hutakiwiiii
 
SIJAPANIKI NIMEKUPA MAKAVU TU

NAMSHUKURU MTOTO MZURI nifah KWA KUNIAMBIA WE MWANAUME MAANA SIKULIJUA HILO UNA TUELEMENT FLANI HIVI SIO TWA KAWAIDA SO BADILIKA





KUKUNYOOSHA AKUNYOOSHE CHIBU


afu uje kunililia mimi meeeeeen....


NA BADO

Uzizuge wew...
Wew hujanipm ukaniambia unamtaka Th Name anainyesha ana six pack? Sio wew?
Hahahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Umeingia Bila Ya Kuingizwa.? Ebu Kaa Vizuri Tukuingize Kwanza Ndo Usikie Utamu Vizuri Wa Hii Thread.
Wewe inaonyesha umekosa malezi mazuri tangu utoto kwahiyo unadhani wote tuliopo humu ni wa aina yako,pili kwani wewe ni nani uwaambie watu thead hii haiwahusu kama ulitakahivo nenda katafute simu umpigie umwambie ushauri wako na si kuja kutukana watu humu hata hapa matusi tunayajua ila malezi yanatuzuia,tatu JF ni ya wote hakuna isiyomuhusu ndo mana ikitolewa mada ya kuhusu DIAMOND wapenzi wa Kiba wanaingia na wanachangia na hakuna ugomvi na mwisho Kiba hawezi kufurahishwa na shabiki wa aina yako na hata hao mashabiki wenzako hawawezi kufurahia na matusi unayoyaonyesha hapa labda wawepo waliokosa malezi mema kama wewe.
 
Unavote Mara nyingi uwezavyo ila kwa interval Fulani kama dk 2 au 3.
Fanya kuvote kwa kingkiba wetu halla.
 
Uzizuge wew...
Wew hujanipm ukaniambia unamtaka Th Name anainyesha ana six pack? Sio wew?
Hahahaaaa

Hahahahahaha propaganda za mwaka 70 hizo


Na badoo ntawatokea sana udingizini maana minyoosho ys dangote inakuja na mzimu wa Kidingi
 

Attachments

  • 1437465113214.jpg
    32 KB · Views: 73
  • 1437465127812.jpg
    25.3 KB · Views: 71
Last edited by a moderator:
hahahaha tatizo hujiamini wewe

Zaidi ya ben pol.. Sina nyota ya tembo kuwa mlinzi wa wanyama kwa kujitolea,


NINA DAMU YA WASAAAAAAFI WHY NOT??

Nikiwa chini ya president Mondi bin laden why not??

MTANYOOKA TU!!
NA BADO!!
 

Attachments

  • 1437465422927.jpg
    39.2 KB · Views: 76

We Kilaza Nini Neno Gani Kwako Ambalo Umeliona Ni Tusi?.Husipende Kujipa Maana Kulingana Na Jinsi Akili Yako Mbovu Inavyokutuma.
 
Pamoja mkuuu....

Afu oooh diamond ananjaa anafanya show za siasa, mara ooh mashabiki walienda kusikiliza hoja hawakumfata yeye

Vipi hii ya LE KING ZAMUNDAAAZ TABORA J3 naona ilikuwa kama mkutano wa kijiji mkaogopa hata kutujuza MZEE PORI alikuwa ana show hahahaha KWELI MMEISHA HATA TUKIMTUMA MOSEIYOBO NINAUHAKIKA WATU MARA 20 ZAIDI YA HAWA WATATOKEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…