Acheni kufanisha kifo na usingizi, Diamond ni level nyingine. Endelee kupiga kelele mwenzenu anasonga mbele. Hata kama hujui hesabu kabisa lakini huwezi kukosa hii 7-1=??
Daaah kwani Kukuchukua wewe haitoshi anataka na yeye nimuweke ndani???
MINYOOSHO TU DADEKIIIII!!!
hata we hujishangai au.
mtanyooka tu hata kama ni kwa kukimbia mada
hahahahahaha
hatari sana chibu mtu mbaaaaya mnooooo
SIJAPANIKI NIMEKUPA MAKAVU TU
NAMSHUKURU MTOTO MZURI nifah KWA KUNIAMBIA WE MWANAUME MAANA SIKULIJUA HILO UNA TUELEMENT FLANI HIVI SIO TWA KAWAIDA SO BADILIKA
KUKUNYOOSHA AKUNYOOSHE CHIBU
afu uje kunililia mimi meeeeeen....
NA BADO
Wewe inaonyesha umekosa malezi mazuri tangu utoto kwahiyo unadhani wote tuliopo humu ni wa aina yako,pili kwani wewe ni nani uwaambie watu thead hii haiwahusu kama ulitakahivo nenda katafute simu umpigie umwambie ushauri wako na si kuja kutukana watu humu hata hapa matusi tunayajua ila malezi yanatuzuia,tatu JF ni ya wote hakuna isiyomuhusu ndo mana ikitolewa mada ya kuhusu DIAMOND wapenzi wa Kiba wanaingia na wanachangia na hakuna ugomvi na mwisho Kiba hawezi kufurahishwa na shabiki wa aina yako na hata hao mashabiki wenzako hawawezi kufurahia na matusi unayoyaonyesha hapa labda wawepo waliokosa malezi mema kama wewe.Umeingia Bila Ya Kuingizwa.? Ebu Kaa Vizuri Tukuingize Kwanza Ndo Usikie Utamu Vizuri Wa Hii Thread.
Pamoja mkuuu....
hahahaha tatizo hujiamini wewe
Wewe inaonyesha umekosa malezi mazuri tangu utoto kwahiyo unadhani wote tuliopo humu ni wa aina yako,pili kwani wewe ni nani uwaambie watu thead hii haiwahusu kama ulitakahivo nenda katafute simu umpigie umwambie ushauri wako na si kuja kutukana watu humu hata hapa matusi tunayajua ila malezi yanatuzuia,tatu JF ni ya wote hakuna isiyomuhusu ndo mana ikitolewa mada ya kuhusu DIAMOND wapenzi wa Kiba wanaingia na wanachangia na hakuna ugomvi na mwisho Kiba hawezi kufurahishwa na shabiki wa aina yako na hata hao mashabiki wenzako hawawezi kufurahia na matusi unayoyaonyesha hapa labda wawepo waliokosa malezi mema kama wewe.
Pamoja mkuuu....